Raelish
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 489
- 162
Habarini waheshimiwa.!!
kutokana na watu kuwa bize sana na kazi zao na kushindwa kufanya kilimo japo wanapenda. mimi nimeamua kuwasaidia watu wa namna hiyo, yaani hivi tunakubaliana unataka ulime zao gani na kwa ukubwa gani wa shamba na unafikiri ukubwa huo wa shamba kiuhalisia unaweza kutoa mazao kiasi gani, tunafanya tathmini kisha unanipa mtaji wako wa kilimo mi naingia shamba, nakupigia kazi hadi muda wa mavuno nakukabidhi mazao yako kama tulivyokubaliana alafu we unanilipa (kadri tutakavyokubaliana).
Mashamba naweza kulima hadi mikoani na nakufanyia shughuli zote za shamba nakukabidhi mazao na malipo ni kama nilivyosema.
Makubaliano haya yote tunayafanya mbele ya chombo kinachotambulika kisheria ili wewe usitapeliwe hali kadhalika nami pia. kwa mawasiliano zaidi ni-pm nikupe namba yangu. "karibu ujenge uchumi wako".
kutokana na watu kuwa bize sana na kazi zao na kushindwa kufanya kilimo japo wanapenda. mimi nimeamua kuwasaidia watu wa namna hiyo, yaani hivi tunakubaliana unataka ulime zao gani na kwa ukubwa gani wa shamba na unafikiri ukubwa huo wa shamba kiuhalisia unaweza kutoa mazao kiasi gani, tunafanya tathmini kisha unanipa mtaji wako wa kilimo mi naingia shamba, nakupigia kazi hadi muda wa mavuno nakukabidhi mazao yako kama tulivyokubaliana alafu we unanilipa (kadri tutakavyokubaliana).
Mashamba naweza kulima hadi mikoani na nakufanyia shughuli zote za shamba nakukabidhi mazao na malipo ni kama nilivyosema.
Makubaliano haya yote tunayafanya mbele ya chombo kinachotambulika kisheria ili wewe usitapeliwe hali kadhalika nami pia. kwa mawasiliano zaidi ni-pm nikupe namba yangu. "karibu ujenge uchumi wako".