Sijaelewa!
kumbe tupo wengi vichwa maji?Hahahahaha mwenzangu weee naona kichina...
Fanya hivi andika jina lolote la jinsia tofauti na yako kisha tulia atakae kupm ndie akupendae. kazi kwako
sasa mkuu huu ushauli mbona majanga
HahAhahaaaa kuwe na jukwaa la under 18 humu........
Form two walishafanya mtihani wako home....
hata Mulugo product a.k.a form four watarajiwa wengine wa divisheni five washamaliza wapo tu mtaani!!!
Tena si ndogoKazi ipo!!!