RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,880
- 5,424
Hello wana JF chef,
Ni mara yangu ya kwanza kupost humu. Ila si mbaya kama tukibadilishana ujuzi na maonjo kidogo kwenye afya na vyakula.
Mimi napenda juisi ya matunda yenye tangawizi kidogo pia hata ile ya miwa pia. Je, wewe hupendelea kuweka vitu gani zaidi kwenye juisi yako na unapoinywa hujisikia raha?
Karibuni
Ni mara yangu ya kwanza kupost humu. Ila si mbaya kama tukibadilishana ujuzi na maonjo kidogo kwenye afya na vyakula.
Mimi napenda juisi ya matunda yenye tangawizi kidogo pia hata ile ya miwa pia. Je, wewe hupendelea kuweka vitu gani zaidi kwenye juisi yako na unapoinywa hujisikia raha?
Karibuni