Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Ningependa tu kuuliza je unaponunua gazeti lolote mfano mwananchi, Raia mwema, citizen na Nk.
Je, unachonunua na zile karatasi au habari zilizomo?
Kwa sababu gazeti moja unakuta lina page mpaka 10,
Sawa sawa na makaratasi 5,ambayo kwa gharama ni sawa na bei ya gazeti unalonunua.
Je, wachapishaji wa magazeti ni kwamba wao wananunua makaratasi kwa jumla, wanatafuta habari wanaandika wanageuza jina na kuita gazeti,
Halafu wanakuja kuutuzia kwa bei ya reja reja kwa kisingizio cha zile habari walizoandika au wanatuuzia habari lakini makaratasi tunapewa bure?
Wakuu majibu yenu tafadhari.
Cc Zero IQ
Je, unachonunua na zile karatasi au habari zilizomo?
Kwa sababu gazeti moja unakuta lina page mpaka 10,
Sawa sawa na makaratasi 5,ambayo kwa gharama ni sawa na bei ya gazeti unalonunua.
Je, wachapishaji wa magazeti ni kwamba wao wananunua makaratasi kwa jumla, wanatafuta habari wanaandika wanageuza jina na kuita gazeti,
Halafu wanakuja kuutuzia kwa bei ya reja reja kwa kisingizio cha zile habari walizoandika au wanatuuzia habari lakini makaratasi tunapewa bure?
Wakuu majibu yenu tafadhari.
Cc Zero IQ