LOGORIDDIM
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,406
- 903
Habari za Leo,
Kuna Bwana anaitwa Ibrahim Shaaban amepata ajali ya bodaboda Dodoma siku nne zilizopita.
Yeye alikuwa ni abiria ni kijana tu hivi, yeye na Dereva wa bodaboda wamefariki. Maiti yake iko motuary Dodoma.
Tafadhali sambaza taarifa hizi na Mola Muumba atakulipa.
Kuna Bwana anaitwa Ibrahim Shaaban amepata ajali ya bodaboda Dodoma siku nne zilizopita.
Yeye alikuwa ni abiria ni kijana tu hivi, yeye na Dereva wa bodaboda wamefariki. Maiti yake iko motuary Dodoma.
Tafadhali sambaza taarifa hizi na Mola Muumba atakulipa.