unaposema kipato chako una maana gani??
Kumbe kuishi kimjinimjini ndio maana yake hii??
Kama una miliki mali zaidi ya kipato chako, ukiulizwa sema hapa Bongo tunaishi kimjini mjini, tunaazima kila kitu kutoka kwa washikaji. Majumba, magari, mashamba, masheli na vitega uchumi vyote nilivyo navyo ni vya kuazima.
Kweli nakuona upo kimjinimjini!Heheheh Katavi hata mie nipo jf kimjini mjini :bange::bange: