Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,347
- 217,385
Huyu hapa
Moto wake usipime !
Moto wake usipime !
Sasa kama aliwahenyesha kama unavyomsifia inakuwaje Mteja wake Freeman Mbowe bado anaozea na kuchakaa tu huko Gerezani aliko? Miswahili bhana....!!!!
Mungu ampe maishaAlisimamia pia kesi ya JamiiForums
Mchungaji banaMungu ampe maisha
umejuaje hii siri wewe ?Mchungaji bana
ID nzuriii lakini kama kakutambua ibadilishe TU mkuu hakuna namnaumejuaje hii siri wewe ?
Nao mirund bwanaSasa kama aliwahenyesha kama unavyomsifia inakuwaje Mteja wake Freeman Mbowe bado anaozea na kuchakaa tu huko Gerezani aliko? Miswahili bhana....!!!!
Sasa kama aliwahenyesha kama unavyomsifia inakuwaje Mteja wake Freeman Mbowe bado anaozea na kuchakaa tu huko Gerezani aliko? Miswahili bhana....!!!!
nimeshangazwa na majibu yake huyo bwana Gentamicin anakua Kama hajui process za kesi aiseee nimemdharau Sana kumbe mweupe Sana kichwani!hivi kwa akili yako unazani mahakama ni kitu cha kukurupuka haraka haraka.umefanya au ujafanya jambo likiwa mahakamani linakuwa na mda kupata haki.
nakushauri katika vitu yani bora jambo kumalizia polisi kuliko kwenda mahakamani.linaweza kukusumbua mpaka ukachoka
Kweli kabisa Mkuuhivi kwa akili yako unazani mahakama ni kitu cha kukurupuka haraka haraka.umefanya au ujafanya jambo likiwa mahakamani linakuwa na mda kupata haki.
nakushauri katika vitu yani bora jambo kumalizia polisi kuliko kwenda mahakamani.linaweza kukusumbua mpaka ukachoka