Ahead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 2,205
- 2,431
Primary nilikuwa monitor na kiranja nikiwa darasa la tatu,faida ni kuwa exempted kwenye kazi za shuleni hasa kilimo na usafi,pia nilibahatika kuwa mjumbe wa kamati ya shule kuwakilisha wanafunzi wenzetu tukawa tunapokea posho ya vikao kama wajumbe wengine,hasara ni kupigana au kupigwa ngumi na wababe waliokuwa wananizidi ngumi huo ndio ulikuwa ugumu wa kazi unapokuja.