Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Hahahahaha Nimecheka mpaka basi. Duuuuuh
Kwanini mkuu?
Hahahahaha Nimecheka mpaka basi. Duuuuuh
Mpenzi yupi sasa?! Wa kwanza,wa pili.....wa 12 au?!
ha ha ha..kama nimemkumbusha hilo it is totally different
mimi sikumchoropoa ila nilibaki na imani ya kuoana mabikra huku nyuma wajanja wakambandua na kusababisha arest in peace kama sio pieces!!!!
So hukuwa sababisho la mimba kumbe!!!
Pole sana
asante sana...sikuwa sababisho hata...niiporudi home baada ya mwaka ndo nikakuta majanga hayo....mpaka wa leo mamake huwa akiniona analia...na ni miaka mingi sana imepita
Elezea, ulikutana na mpenzi wako wapi na wimbo upi wa kwanza mlipokutana uliwasogeza karibu.
Tujuzane
Si umesema she died? Mbona unasema akikuona analia?
Si umesema she died? Mbona unasema akikuona analia?
Kasema mamake
mamake ndo huwa analia...unanitisha atoto!!! neno mamake linasomeka vizuri kwenye post, nina mashaka hako kaglass ka wine ulikoanza nako weekend kana ujazo wa maana!!! (joking)
Oooooh, okey gutchu
Hahahaaaa!! Sikusoma vzr mkuu, mie situmii kilevi cha aina yoyote mkuu ni kutokuwa makini tu.
was joking mkuu
asante sana...sikuwa sababisho hata...niiporudi home baada ya mwaka ndo nikakuta majanga hayo....mpaka wa leo mamake huwa akiniona analia...na ni miaka mingi sana imepita
umenifanya nikumbuke mbali sana na kuingiwa na simanzi. nilimpoteza rafiki yangu kipenzi tukiwa form 3 kwa kisa kama hiki. Mama yake alikuwa akiniona analia sana na kuniambia nisimuache, hivyo nikawa naenda kwake mara kwa mara kumfariji. Baadae nikaja kujua kuwa yeye ndo alimpeleka mwanae hospitali kutoa ile mimba. Nilimchukia na nikakata mguu. Mume wake nae akaja kujua, ndoa ikasambaratika.
Hahahahahahhahahahahahahaha Jamani sijutii kuwa humu, raha sanaaaaaa
Eeeeeheee Kwahiyo ukagegeda bila kutarajia duuuuhhh kazi ipo
duh mkuu...naona visa vya maisha ni copy and paste!!! hata wa kwangu mamake ndo alimpeleka kwa doctor kuabort!!!! tatizo alikuwa ndiye kipenzi cha mamake kupita kiasi....na najua kilio chake ndani yake anajihukumu kuwa alisababisha kifo cha mwanae
yule mama angekuwa hai ningesema ndo huyo ila naye alikufa miaka minne baadae kutokana na stress na sononi.
Duuh very sad, Jamani . Let's hope Alitubu kabla ya safari yake . Thanks..yule mama angekuwa hai ningesema ndo huyo ila naye alikufa miaka minne baadae kutokana na stress na sononi.