JBourne59
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 941
- 8,525
Je, unaikumbuka?
(Kwa waliozaliwa kuanzia enzi za utawala wa Mzee Mwinyi (Mzee wa Rukhsa si rahisi kukumbuka hili basi)
Ni lililokuwa basi dogo, ilikuwa ikifanya safari zake Dar Es Salaam - Morogoro.
Ni basi lililokuwa linaweza kufanya safari tatu kwa sita kwa siku moja Dar - Moro licha ya changamoto za barabara wakati huo.
Je, unakumbuka iliishia wapi?
Ni miongoni mwa mabasi machache ya abiria yaliyokuwa na radio / cassette player ndani ya gari, Safari na Muziki.
Stendi/Kituo chake kwa Dar wakati huo ilikuwa na Magomeni Mapipa (sikumbuki vizuri kama pia waliwahi kuwa pale Manzese baada ya kutoka Magomeni mapipa)
Ewe Mhenga mwenzangu, umekumbuka nini zaidi?
Karibuni.
(Kwa waliozaliwa kuanzia enzi za utawala wa Mzee Mwinyi (Mzee wa Rukhsa si rahisi kukumbuka hili basi)
Ni lililokuwa basi dogo, ilikuwa ikifanya safari zake Dar Es Salaam - Morogoro.
Ni basi lililokuwa linaweza kufanya safari tatu kwa sita kwa siku moja Dar - Moro licha ya changamoto za barabara wakati huo.
Je, unakumbuka iliishia wapi?
Ni miongoni mwa mabasi machache ya abiria yaliyokuwa na radio / cassette player ndani ya gari, Safari na Muziki.
Stendi/Kituo chake kwa Dar wakati huo ilikuwa na Magomeni Mapipa (sikumbuki vizuri kama pia waliwahi kuwa pale Manzese baada ya kutoka Magomeni mapipa)
Ewe Mhenga mwenzangu, umekumbuka nini zaidi?
Karibuni.