Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 49,841
Akina mama wengi wanapitia manyanyaso ya aina nyingi sema hua wanavumilia for the sake of their children.Asante. Ilinifunza sana. Mama alikuwa kila siku akikonda, bahati mbaya sana mama yangu alikuwa ni mpole sana, na mtiifu kupita kiasi. Nikaja jua kuwa ni mzee ndiye chanzo baada ya kuwa mtu mzima. Nilizoea kuwaambia wadogo zangu, mkiolewa msiwe kama mam, kuweni na heshima kwa waume zenu ila msiwe watumwa. All in all, namshukuru pia sababu kila kitu nilichofanikiwa maishani mwangu, msingi ni wake.
Yees muhimu ni kushukuru kwa yote na kujitahidi kutorithi yale ambayo wazazi wetu walifeli ili yasijirudie kwenye familia zetu tutakazotengeneza/tunazotengeneza