Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,185
- 10,911
Alitekeleza wajibu wake mpaka mwisho wa maisha yake!Me nakumbuka alinilipia ada ya mitihani ya kumaliza sec huku akiwa anaumwa hoi na akihitaji wa pesa pia ili aendelee na matibabu
Masikini Baba yangu saa chache baada ya kumaliza mitihani furaha yangu ikakatizwa baada ya kurudi home na kukuta msiba
Sent using Jamii Forums mobile app