Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,724
- 19,867
Sameja SENGA mchaga mmoja hivi ana huruma kichizi yaani anapenda kuongea utamsikia KURUTA JESHI NI GUMU HATA YEYE MWENYEWE HAJAWAHI KULIZOEAMkwayu alikuwa jamaa mrefu anapenda sana kwata. RSM kayange alikuwa anapenda kusema ukiharisha jua umekula m*vi mabichii.
Nilikuwa D-coy luteni walikuwa masalu na mbuga hao ndo nawakumbuka. Kwenye kwata alikwepo pia mzee matonya kwenye "guzmachi" alikuwa na kawimbo kake.