Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Mkwayu alikuwa jamaa mrefu anapenda sana kwata. RSM kayange alikuwa anapenda kusema ukiharisha jua umekula m*vi mabichii.
Nilikuwa D-coy luteni walikuwa masalu na mbuga hao ndo nawakumbuka. Kwenye kwata alikwepo pia mzee matonya kwenye "guzmachi" alikuwa na kawimbo kake.
Sameja SENGA mchaga mmoja hivi ana huruma kichizi yaani anapenda kuongea utamsikia KURUTA JESHI NI GUMU HATA YEYE MWENYEWE HAJAWAHI KULIZOEA
 
Six week ile nikikumbuka nlivolala juu ya makaburi ya wakimbizi pale 824kj kanebwa nhsikia kufa ganzi
Hiyo kambi ni kiboko tz nzima,. Kaka angu alienda pale kwa mujibu wa sheria, siku anarudi, mie, mama, na dada zangu tulilia km tunefiwa, kaka anarudi haeleweki yaan akisinulia mateso yake. Hapan kwa kweli lol.
 
Nina visa kadhaa pale mgambo jkt.
Kuna afande mmoja alikuwa anaitwa mjerumani huyo, kuna siku aliwalisha watu malimao na maganda yake huku akisema "kurutu" nataka nione mbegu tu hapo chini.
Sababu ikiwa ni ile ya kula machungwa yale yaliyopo barabara ya kuelekea kwenye mahanga ya madawili sitasahau ile moment.
mlikomeshwa enyewe enyewe. Poleeeeh
 
Hapo 835KJ Mgambo, baada ya doso la siku nzima wazalendo tulikuwa hangani tunapiga soga, matusi na story za hapa na pale, kumbe kuna maafande wanasikiliza kwa nje, mdudu sijui kinachoendelea nimejilaza kitanda cha kwanza juu kutoka lango la hanga, kumbe kuna afande kaingia kimya kimya akanishika upara kisha akapiga kibao kisicho na maumivu.. Kurutu si nikajua ni mdudu mwenzangu ananiletea za kuleta, nikaropoka "Usishike kichwa tu kisha unaacha, njoo ushike na MBOO"

Kilichofuata Service Boys mnajua
 
Asee bro mimm pia nilikua Msange 823 KJ OP Miaka 50 ya JKT, nilikua C Coy na akina Afande Simkoko. Memories nyingi sana kwa kweli. Nakumbuka ile siku tulipewa root ndefu kishenzi ya kukimbia, root inaitwa Mbola Matola. Iyo siku nilirudi mwili mzima umejaa Chumvi. Amna tusi niliacha kutuka uko njiani
Simkoko MTM?
 
Hiyo kambi ni kiboko tz nzima,. Kaka angu alienda pale kwa mujibu wa sheria, siku anarudi, mie, mama, na dada zangu tulilia km tunefiwa, kaka anarudi haeleweki yaan akisinulia mateso yake. Hapan kwa kweli lol.
Pale ni hatari sana
 
Op gani mkuu? Kuna wakati napamisi aisee. Sehemu pekee palioo nikomesha. At the moment ilikua worst experience but now napakumbuka. Hasa Afande Nyang'anyi, daka Nyama, magesa Na sir meja Wa kikosi Na lipikipiki lake. Watu wakisiki sauti ya pikipiki lake wanageuka Na kutoa salamu. "Jambo Afande".
Hahaaa umesema afande magesa yule fala chozi karb linitoke😂, ongezea apo na afande marwa mzee wa mabio
 
Op gani mkuu? Kuna wakati napamisi aisee. Sehemu pekee palioo nikomesha. At the moment ilikua worst experience but now napakumbuka. Hasa Afande Nyang'anyi, daka Nyama, magesa Na sir meja Wa kikosi Na lipikipiki lake. Watu wakisiki sauti ya pikipiki lake wanageuka Na kutoa salamu. "Jambo Afande".
Yule sir meja na sauti lake noma, nakumbuka tulienda nae range acha kbs.
 
Yule sir meja na sauti lake noma, nakumbuka tulienda nae range acha kbs.
Jamaa hakosi shabaha aisee. Ila magesa simsahau kamwe. Alitupeleka uwanja Wa damu usiku Wa manane ilipofika saa tisa tukaenda salimia wagonjwa saa Tisa. Huo mwendo tuliondea sijawahi usahau mpaka leo.
 
JKT baada kumaliza six week kazi za kuni,shamba,bustani ilikuwa naenda kwa nadra Sana.

Kitengo ilikuwa ni kuvizia trekta, Land cruiser na Ashok Leyland uelekeo mjini kufata vitu au kupakia mizigo ya kambini.
 
Jamaa hakosi shabaha aisee. Ila magesa simsahau kamwe. Alitupeleka uwanja Wa damu usiku Wa manane ilipofika saa tisa tukaenda salimia wagonjwa saa Tisa. Huo mwendo tuliondea sijawahi usahau mpaka leo.
😂😂Yule fala na overroll lake alikuw anapenda sifa sana usiku alitupeleka chamaji tukatoka huko tukaenda bustan, tukamalizia na uwanja wa dam doso, kisa hatujanunua mandazi
 
Hapo 835KJ Mgambo, baada ya doso la siku nzima wazalendo tulikuwa hangani tunapiga soga, matusi na story za hapa na pale, kumbe kuna maafande wanasikiliza kwa nje, mdudu sijui kinachoendelea nimejilaza kitanda cha kwanza juu kutoka lango la hanga, kumbe kuna afande kaingia kimya kimya akanishika upara kisha akapiga kibao kisicho na maumivu.. Kurutu si nikajua ni mdudu mwenzangu ananiletea za kuleta, nikaropoka "Usishike kichwa tu kisha unaacha, njoo ushike na MBOO"

Kilichofuata Service Boys mnajua
nimecheka km chizi hapa lol.
 
Back
Top Bottom