DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Da nimekumbuka ukiwa Mwanza/Mara na Shinyanga ukauliza kipimo cha Konyagi mwitu [Gongo] utaambiwa vipi unatak pegi, mzinga, fanta, au Kibombombonya, ukiwa moshi utaambiwa unataka Kitochi.Au ukiwa moshi ukataka Mbege utaulizwa tukupe Buri!!!
Je kwenu vipimo vya konyagi mwitu,kimpumu,ulanzi,kangara, dengerua na zinginezo vinaitwaje tujuzane!!!
Je kwenu vipimo vya konyagi mwitu,kimpumu,ulanzi,kangara, dengerua na zinginezo vinaitwaje tujuzane!!!