Je, unajua tendo la ndoa ni haki katika ndoa na lisipotimizwa linaweza sababisha ndoa kuvunjika?

Mkuu Sheria ya Ndoa imeainisha haki mbalimbali za wanandoa. Kimsingi mke ana haki sawa na mwanaume katika ndoa.Baadhi ya haki zilizoainishwa ni pamoja na; Haki sawa kwa mwanamke katika kupata, kumiliki na kugawa mali yake...
Sawa nimekuelewa vema.

1.Kwa sababu ulizozitoa, ikiwa kila mtu ana mali zake binafsi, ikitokea mwenza mmoja amefariki na katika ndoa hawakufanikiwa kupata mtoto, je ndugu wa marehemu wanaweza kudai "mali binafsi" za marehemu wao?

2. Kwanini imekuwa kawaida akifariki mume, kunakuwa na mgawanyo ww mali, lakini haiwi hivyo pale anapofariki mke? Sheria inasemaje?
 
Pia sheria ya ndoa inaruhusu mke au mume kumiliki mali zake binafsi. Ina Maana kwamba ndoa haiondoi umilikaji wa mali binafsi kwa mwanandoa, kama mke au mume alikuwa na mali fulani kabla ya ndoa mali hiyo inabaki kuwa yake peke yake hata baada ya ndoa. Mali zinazopatikana kwa nguvu ya wanandoa wote wawili hizo huwa ni mali za pamoja na zinamilikiwa na wanandoa wote wawili.
Je sheria inasemaje pale ambapo mwanandoa mmoja anapochangia kiasi kikubwa katika mali iliyopatikana ndani ya ndoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom