Je, unajua maana halisi ya Crypto Minning?

kwa-muda

JF-Expert Member
Sep 5, 2018
1,163
2,223
kwa wale waliokwisha fahamu au kusikia kuhusu pesa ya kimtandao kama BTC, Ethreum, Capverto token, BZX, AZAM nakadhalika amewahi kusikia kitu kinaitwa uchimbaji wa pesa.

Unajua maana halisi ya uchimbaji wa pesa hiyo?

Ni kwamba hiyo pesa haiko centralized ikiwa na maana kwamba hakuna chombo wala mtu anaye imonitor ndiyo maana inaitwa trustless. na mfumo wake umetapakaa kwenye computer za watumiaji hakuna centre inayomiliki mfumo wa pesa hiyo.

Sasa malipo unayopata kama commision ya nguvu za computer yako kuchangia katika kuhifadhi na kuendesha mfumo wa crypto currency ndiyo hayo malipo ya uchimbaji bitcoin.

Ukiwa na computer yenye nguvu zaidi utapata malipo zaidi kuliko mwenye computer ndogo.

lakini ukweli ni kwamba huu mfumo unavyozidi kukua na baadhi ya watu kuwa na tokens zaidi ya wengine wanaanza kuwa na maamuzi juu ya mfumo na nini kifanyike kwa hiyo unaanza kuwa centralized japo siyo sana.

kuna token moja inaitwa CAPVERTO token yenyewe ittatoa mpaka prepaid cards mtu ataweza kutoa pesa kwenye atm mashines yani automatically cryptocurrency inakuwa converted to fiat money.

Kwa wale wanaopenda biashara halali yenye misingi ya Islamic banking ipo Azam token hii kila token ina backup ya gold kama ambavyo banking system ya Quran inahitaji. Na huwezi itumia kucheza kamari wala kulipia huduma kama pombe ila unaweza ibadirisha kwenda kwenye other tokens kama BTC na Ehtreum.

blockchain is really interesting na ni bonge la invention.
 
kwa wale waliokwisha fahamu au kusikia kuhusu pesa ya kimtandao kama BTC, Ethreum, Capverto token, BZX, AZAM nakadhalika amewahi kusikia kitu kinaitwa uchimbaji wa pesa.

Unajua maana halisi ya uchimbaji wa pesa hiyo?

Ni kwamba hiyo pesa haiko centralized ikiwa na maana kwamba hakuna chombo wala mtu anaye imonitor ndiyo maana inaitwa trustless. na mfumo wake umetapakaa kwenye computer za watumiaji hakuna centre inayomiliki mfumo wa pesa hiyo.

Sasa malipo unayopata kama commision ya nguvu za computer yako kuchangia katika kuhifadhi na kuendesha mfumo wa crypto currency ndiyo hayo malipo ya uchimbaji bitcoin.

Ukiwa na computer yenye nguvu zaidi utapata malipo zaidi kuliko mwenye computer ndogo.

lakini ukweli ni kwamba huu mfumo unavyozidi kukua na baadhi ya watu kuwa na tokens zaidi ya wengine wanaanza kuwa na maamuzi juu ya mfumo na nini kifanyike kwa hiyo unaanza kuwa centralized japo siyo sana.

kuna token moja inaitwa CAPVERTO token yenyewe ittatoa mpaka prepaid cards mtu ataweza kutoa pesa kwenye atm mashines yani automatically cryptocurrency inakuwa converted to fiat money.

Kwa wale wanaopenda biashara halali yenye misingi ya Islamic banking ipo Azam token hii kila token ina backup ya gold kama ambavyo banking system ya Quran inahitaji. Na huwezi itumia kucheza kamari wala kulipia huduma kama pombe ila unaweza ibadirisha kwenda kwenye other tokens kama BTC na Ehtreum.

blockchain is really interesting na ni bonge la invention.

Wale wale na mambo yale yale witnessj ukuje huku kuna "FURSA":p:p:p
 
Wale wale na mambo yale yale witnessj ukuje huku kuna "FURSA":p:p:p
Usikariri na usiwe mtu wa kujifungia kwenye box na hili ndilo tatizo la Watanzania, jisomee elewa na tafuta fursa pesa haiko kwenye kilimo, biashara ya duka na kuajiariwa. Mmiliki wa facebook angekuwa mtanzania mwaka 2002 akasema kuwa anataka kujiajiri kwa kutengeneza social network huenda mngesema kachnganyikiwa.
Sijaja hapa kupiga kampeni chochote ila ni teknolojia ambayo ime take over blockchain ndiyo teknolojia ambayo hata mabenki yanaanza kuiadapt kwakuwa mtu hawezi ibiwa wala kudhurumiwa maana ni public ledger. Hata makampuni ya kibiashara yana adapt blockchain kwa kutumia kitu kinaitwa smart contract hakutakuwa na haja ya kushirikisha mabenki au third party wakati wakufanya international business maana hamuwezi geukana kwakuwa kuna smart contract hapo kati ambayo ndiyo responsible ya kuhold pesa ya mnunuaji na kuiachia pale tu bidhaa zake zitakapokuwa delivered on right time, zikiwa ndizo zenyewe.
Usijifungie soma haya mavitu tatizo ukisikia blockchain we wawaza bitcoin. Labda nikwambie hivi blockchain ni teknolojia iliyosaidia kutengenezwa bitcoin ila blockchain siyo lazima ihusishe pesa ya kimtandao ina mengi ya kufanya katika mambo ya kidigitali
 
Sijaelewa hapo .je ukiwa na komputer yenye nguvu unaweza kutupa mfano wa computer zenye nguvu??au unamaanisha Kama hizi desk top kama vile LENOVO .IBM.MAC.ETC??
 
Usikariri na usiwe mtu wa kujifungia kwenye box na hili ndilo tatizo la Watanzania, jisomee elewa na tafuta fursa pesa haiko kwenye kilimo, biashara ya duka na kuajiariwa. Mmiliki wa facebook angekuwa mtanzania mwaka 2002 akasema kuwa anataka kujiajiri kwa kutengeneza social network huenda mngesema kachnganyikiwa.
Sijaja hapa kupiga kampeni chochote ila ni teknolojia ambayo ime take over blockchain ndiyo teknolojia ambayo hata mabenki yanaanza kuiadapt kwakuwa mtu hawezi ibiwa wala kudhurumiwa maana ni public ledger. Hata makampuni ya kibiashara yana adapt blockchain kwa kutumia kitu kinaitwa smart contract hakutakuwa na haja ya kushirikisha mabenki au third party wakati wakufanya international business maana hamuwezi geukana kwakuwa kuna smart contract hapo kati ambayo ndiyo responsible ya kuhold pesa ya mnunuaji na kuiachia pale tu bidhaa zake zitakapokuwa delivered on right time, zikiwa ndizo zenyewe.
Usijifungie soma haya mavitu tatizo ukisikia blockchain we wawaza bitcoin. Labda nikwambie hivi blockchain ni teknolojia iliyosaidia kutengenezwa bitcoin ila blockchain siyo lazima ihusishe pesa ya kimtandao ina mengi ya kufanya katika mambo ya kidigitali
Kwamba pesa haiko kwenye kilimo, biashara ya duka na kuajiriwa?

Hapo umepotosha umma.
 
Sijaelewa hapo .je ukiwa na komputer yenye nguvu unaweza kutupa mfano wa computer zenye nguvu??au unamaanisha Kama hizi desk top kama vile LENOVO .IBM.MAC.ETC??
Ni mikompyuta yenye mi processor ya ajabu kabisa kutokea duniani... mi cpu kama hii

AMD Ryzen Threadripper 3970X​

 
Usikariri na usiwe mtu wa kujifungia kwenye box na hili ndilo tatizo la Watanzania, jisomee elewa na tafuta fursa pesa haiko kwenye kilimo, biashara ya duka na kuajiariwa. Mmiliki wa facebook angekuwa mtanzania mwaka 2002 akasema kuwa anataka kujiajiri kwa kutengeneza social network huenda mngesema kachnganyikiwa.
Sijaja hapa kupiga kampeni chochote ila ni teknolojia ambayo ime take over blockchain ndiyo teknolojia ambayo hata mabenki yanaanza kuiadapt kwakuwa mtu hawezi ibiwa wala kudhurumiwa maana ni public ledger. Hata makampuni ya kibiashara yana adapt blockchain kwa kutumia kitu kinaitwa smart contract hakutakuwa na haja ya kushirikisha mabenki au third party wakati wakufanya international business maana hamuwezi geukana kwakuwa kuna smart contract hapo kati ambayo ndiyo responsible ya kuhold pesa ya mnunuaji na kuiachia pale tu bidhaa zake zitakapokuwa delivered on right time, zikiwa ndizo zenyewe.
Usijifungie soma haya mavitu tatizo ukisikia blockchain we wawaza bitcoin. Labda nikwambie hivi blockchain ni teknolojia iliyosaidia kutengenezwa bitcoin ila blockchain siyo lazima ihusishe pesa ya kimtandao ina mengi ya kufanya katika mambo ya kidigitali
Good news,kiongozi sio wote wana uwelewa na ndio maana wana kimbilia kuponda hii teknolojia,na matumizi ya computer wengine hawaja wahi hata kuigisa,ktk smart phones ukimwambia kuna app's flan ipo hv na hv km nayy haelewi haelewi tu, sasa hawa ndio wakosoaji wakuu humu lkn wengine ni waelewa wanajua but wanamua tuu kuleta ubishani, usichoke kutu habarisha mkuu, na Mama nae tyr ame ikubali Crypto
FB_IMG_16236512321106927.jpg
 
Back
Top Bottom