bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
kwani Fidel humjui mtu mweupe?au na wewe ni mweupe?
Hivi hii concept ya kusema mwanaume mweupe ndo handsome ilitokea wapi?sioni uwiano kabisa!!!!
kwani Fidel humjui mtu mweupe?au na wewe ni mweupe?
Duh....! Kumbe nina soko mie....!
firstlady ulijuaje kama hawapendi kula pipi na ganda?au ulishajirusha nao?mana hizo siri za ndani dia.
kwani Fidel humjui mtu mweupe?au na wewe ni mweupe?
Si ndo hapo naona F.lady anatuharibia soko!! Ngoja nitafute mafuta ya bunduki bana!!Kamanda umeona hii kitu sio....
:confused2:....hakuna dawa ya kichina au kihindi ya kugeuza rangi ya ngoz iwe nyeusi?
ha ha ha ha hiyo mixer yake nomaa!!Hivi akiwa mweupe halafu mfupi inakweje?
Jamani ngoja nifafanue kidogo unajua wanaume wengi weupe wa kibongo (sio wazungu)ni mahandsam
mbona kule ghana, nigeria, guinea, ivory coast etc kuna midume myeusi tiii na mabinti wanadanganywa kama kawaida. ANGALIZO: wanaume wote mzazi wao ni mmoja so ukisikia Paaa......
Hivi akiwa mweupe halafu mfupi inakweje?
Hivi hii concept ya kusema mwanaume mweupe ndo handsome ilitokea wapi?sioni uwiano kabisa!!!!
Hivi hii concept ya kusema mwanaume mweupe ndo handsome ilitokea wapi?sioni uwiano kabisa!!!!
Mfupi mikono, miguu au wapi......
Alafu usiombee uende na mtu mweupe kwa demu wako mm niliporwa demu hivi hivi nilienda na jamaa ana rangi ya uzungu pori demu akamzimia jamaa na akawa anaonyesha dalili zote ikabidi nimwachie
aka bacha mi wangu mweus ka chungu na mshiko pia hana so niko peke yangu hakuna hata amaemtamanikwahiyo unataka kusemaje hapo Maty,wanaume weupe kwako poa tu!
duh duh duh hii ni kwa wanawake tu au inaapply na wanaume pia?jiangalie mapajani utaijua rangi yako
Kwani wewe ni mweusi?? Pole kwa kuachwa aisee huyo msichana hajawahi kukutafuta tena?? Weupe hawana la****
wapi GY!!
FL unataka ugomvi ambao hautaisha kabisa!
Ufupi uleule aliousema FL kuwa ni wazuri, wanajua mapenzi, they are caring, and sharing(?)...wanajua kuhonga...ufupi huo
duh yule uliyekuwa unampakia kwenye tukutuku kule Buguruni?Alafu usiombee uende na mtu mweupe kwa demu wako mm niliporwa demu hivi hivi nilienda na jamaa ana rangi ya uzungu pori demu akamzimia jamaa na akawa anaonyesha dalili zote ikabidi nimwachie