Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,824
Hii nmeifanyia utafiti mm mwenyew,miongoni mwa dawa zinazotumika kusukutua mdomo baada ya kupiga mswaki ikiwemo listerine,oral b na zinginezo,inajulikana kua faida yake ni kulinda fizi na kua imara ,kuondoa vijidudu na kuweka refreshment ktk mdomo.
...faida zimgine ni izi apaa..
----inasaidia kukausha vidonda,
Iwapo mtu anakidonda na akatumia io listerine basi ndani ya siku nne tu kidonda kinakauka,unachukua pamba unachovya ktk io listerinr then unapangusia iko kidonda,fanya ivo kila siku ,kutwa mara mbili.
---inatumika katika kutakatisha mwili,
baadh ya watu wana zile sungosungo baina ya mabaja kwa juu hua kuna weus flani, kiukweli results zake ni amaizing na maajabu,maana ndani ya wiki moja tu utajiona msafiiii huna weusi hata chembe.chukua pamba chovya na uwe unajisugulia iyo sehem ya weus baina ya mapaja kwa juu (pembezon),sugua ktk io sungosungo nyeusi kwa dakika zisizopungua kumi ,asubuh na jion kabla hujalala fanya ivo kwa mda wa wiki tu alaf ulete majibu hapa.
---inatumika kutakatisha kwapa,
Unachovya ktk pamba then unajisafishia ktk kwapa unasugua sugua kwa dakika zisizopungua tano.majibu na mabadiliko utayaona ndan ya wiki tu.inasafisha kwapa inatakatisha pia inaleta refreshment unakua huna haja ya kupaka body spray.
Ni hayo tu.
Shukran
...faida zimgine ni izi apaa..
----inasaidia kukausha vidonda,
Iwapo mtu anakidonda na akatumia io listerine basi ndani ya siku nne tu kidonda kinakauka,unachukua pamba unachovya ktk io listerinr then unapangusia iko kidonda,fanya ivo kila siku ,kutwa mara mbili.
---inatumika katika kutakatisha mwili,
baadh ya watu wana zile sungosungo baina ya mabaja kwa juu hua kuna weus flani, kiukweli results zake ni amaizing na maajabu,maana ndani ya wiki moja tu utajiona msafiiii huna weusi hata chembe.chukua pamba chovya na uwe unajisugulia iyo sehem ya weus baina ya mapaja kwa juu (pembezon),sugua ktk io sungosungo nyeusi kwa dakika zisizopungua kumi ,asubuh na jion kabla hujalala fanya ivo kwa mda wa wiki tu alaf ulete majibu hapa.
---inatumika kutakatisha kwapa,
Unachovya ktk pamba then unajisafishia ktk kwapa unasugua sugua kwa dakika zisizopungua tano.majibu na mabadiliko utayaona ndan ya wiki tu.inasafisha kwapa inatakatisha pia inaleta refreshment unakua huna haja ya kupaka body spray.
Ni hayo tu.
Shukran