TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,708
- 10,201
Ni mengi mno. Wale uncles (kondaktaz) huwa wana tabia chafu sana. Vile vitoto vinavyo anza kuota matiti vimekuwa vikichezewa na kushikwashikwa maziwa na makonda hao, haswa wanapokuwa ni wa kwanza kuchukuliwa kabla ya wenzake au ni wa mwisho kurudishwa nyumbani.
Pia wavulana nao wamekuwa wakipata wakati mgumu sana kutoka kwa wahuni hao wanao jiita uncle.
Ni bora mwanao umpeleke shule mwenyewe na ukamchukue (kama una uwezo)
Pia wavulana nao wamekuwa wakipata wakati mgumu sana kutoka kwa wahuni hao wanao jiita uncle.
Ni bora mwanao umpeleke shule mwenyewe na ukamchukue (kama una uwezo)