Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Je Unajua: Tume ya "kukusanya" maoni ya Katiba Mpya inayoongozwa na Jaji Warioba haikulazimishwa na sheria kukubali maoni ya wananchi wengi? Yaani, hata kama wananchi wengi zaidi wangependekeza kitu fulani tume haikutakiwa kukikubali? Kimsingi SIYO tume ya KUKUSANYA maoni bali ya KUSIKILIZA MAONI. Sivyo?
Swali la kujiuliza basi ni hili: Kama Tume haikulazimishwa kuchukua maoni ya wananchi wengi na kuyafanya sehemu ya Katiba je tunaweza kusema kwa haki na dhamira safi kuwa "Katiba imetokana na Wananchi" hasa kama maoni ya Wananchi hayakuingizwa kwenye Katiba hiyo?
Swali la kujiuliza basi ni hili: Kama Tume haikulazimishwa kuchukua maoni ya wananchi wengi na kuyafanya sehemu ya Katiba je tunaweza kusema kwa haki na dhamira safi kuwa "Katiba imetokana na Wananchi" hasa kama maoni ya Wananchi hayakuingizwa kwenye Katiba hiyo?