Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,353
- 4,531
Ipo nadharia au msemo au ukweli unaofichwa kusudi na wanawake. Ukweli huo au nadharia hio ni kwamba wanawake hupenda kwa dhati Mwanaume mmoja tu kati ya wengi anaokuwa nao.
Wengine wote anakuwa nao kwa (Sababu) tu na sababu hizo huwa ni kwa faida zake binafsi na malengo yake iwe ni upenzi, uchumba au kuolewa hio sababu hubaki kuwa ndio chagizo la yeye kudumu na wewe au kutodumu na wewe, unapokosa au kupungukiwa na tija ya hio sababu na penzi hunyauka.
Tafadhari wadada mnaweza kuthibitisha au kukanusha hii nadharia au ukweli huu.
Je, ikiwa ni kweli tukiwabatiza muitwe Mashetani itafaa au haitafaa?
Wengine wote anakuwa nao kwa (Sababu) tu na sababu hizo huwa ni kwa faida zake binafsi na malengo yake iwe ni upenzi, uchumba au kuolewa hio sababu hubaki kuwa ndio chagizo la yeye kudumu na wewe au kutodumu na wewe, unapokosa au kupungukiwa na tija ya hio sababu na penzi hunyauka.
Tafadhari wadada mnaweza kuthibitisha au kukanusha hii nadharia au ukweli huu.
Je, ikiwa ni kweli tukiwabatiza muitwe Mashetani itafaa au haitafaa?