Je, unafahamu maana ya Hisa na Authorised Share Capital?

Mkuu umetupa kitu cha maana sana leo! Asante sana.
Naomba kuuliza swali, hivi let’s say umefungua kampuni directors mpo wawili mkaamua kugawa capita shares kwa % lakin katika mafungu matatu yaan each Director akachukua 40% halafu 20% iliyobaki mkaipa kampuni.sasa swali langu nikwamba nini faida/advantages ya hii 20% kwa Directors?
 
Mkuu umetupa kitu cha maana sana leo! Asante sana.
Naomba kuuliza swali, hivi let’s say umefungua kampuni directors mpo wawili mkaamua kugawa capita shares kwa % lakin katika mafungu matatu yaan each Director akachukua 40% halafu 20% iliyobaki mkaipa kampuni.sasa swali langu nikwamba nini faida/advantages ya hii 20% kwa Directors?
Hamuweiz kuipa kampuni hizo zinakuwa ni hisa ambazo hazijawa assigned mtu subscribed.Swali ni mnaziacha ili nini?Kama hakuna sababu ya kuziacha basi mnagawana tu zote kwa pamoja maana unapoziacha bila sababu ni matumizi mabaya ya hisa.Kwa kampuni za umma Public Company unaweza ziacha iwapo una mpango wa kuziweka katika soko la hisa zinunuliwe ila kwa kampuni binafsi hakuna sababu ya msingi unless kuwe na ulazima.
 
Nakutafuta soon boss hongera sana upo vizuri na umegusa sehemu zangu husika
Mkuu karibu;

Kuhusu SISI


Masoko Consulting ni Strategic Consulting Firm (Washauri waelekezi wa Kimkakati) ambao tunatumia mbinu za kisasa na utaalam wa kisasa katika kuwasaidia wateja wetu kutambua fursa na kuzitumia kwa ajili ya kukuza biashara zao na kukuza faida.Lengo letu ni kuwasaidi wafanyabiasha wadogo na wakati kubadilisha na kuboresha mfumo wa uendeshaji na usimamizi wa biashara zao ili ziendane na dunia ya kisasa kwa kuwawezesha kufikia zana za kisasa,utaalamu wa kisasa na teknolojia katika kuendesha biashara zao.

Sisi tunatoa huduma ya usajili wa Majina ya biashara,kampuni,leseni,TIN number NGOs,Taasisi za Kijamii,SACCOS,Taasisi za KIDINI,Taasisi za ELIMU,Viwanda,UWEKEZAJI na pia tunatoa ushauri juu ya namna bora ya kuendesha biashara yako.Unaweza kupata huduma hizo kwa gharama nafuu.Baadhi ya huduma hizo ni pamoja na:
  1. Kwanza tutakushauri kuhusu muundo wa biashara yako faida na hasara pamoja fursa mbalimbali
  2. Pili tutakufanyia utafiti na ushauri wa Jina la Biashara yako kwa kuzingatia vigezo vya SOKO
  3. Tutakufanyia Taratibu zote za usajili kuanzia Uandaaji wa Nyaraka Mpaka Kukamilika kwa Usajili Kampuni,TRA,Mashine za EFD,Vibali vya TBS pamoja na leseni
  4. Tutakuandikia Company Profile ya Kisasa kwa Lugha ya Kiingereza na Kiswahili
  5. Kama unahitaji mkopo kutoka katika taasisi za fedha tutakusaidia kufanya mchakato kwa kuzingatia mahitaji yako na vigezo vya taasisi husika.
  6. Tutakutengenezea Website ya kisasa kwa ajili ya Biashara na huduma zako.
  7. Tutakutengenezea, Logo, Business Card,Letter Head pamoja na Nyaraka nyingine za Kibiashara
  8. Tutakupatia Mfumo wa Kutunza kumbukumbu kwa njia ya Mtandao au kwenye Computer yako kwa ajili ya kusimamia Biashara yako
  9. Tutakufanyia Initial Marketing kwa Wateja wako (Inategemea aina ya biashara )wa Mwanzo ili kuwa na customer base ya kuanzia
  10. Pia tutakusaidia Mchakato wa Kufungua Bank Account kwa kutumia jina la Biashara yako (Deposit Ya Kwako)
  11. Tutakuwa nawe katika mchakato mzima wa kuendesha biashara yako mpaka itakapokuwa stable na wewe kupata uzoefu wa kutosha katika biashara yako.

Huduma hizi zinapatikana kwa pamoja au kwa moja moja na mfumo wetu wa malipo ni nafuu na unazingatia matokeo katika kila hatua.Kama unahitaji huduma zetu wasiliana nasi kwa email:masokotz@yahoo.com au kwa simu +255710323060.

Karibu sana
 
nimekukubali sana mkuu uko vizuri kwenye marketing,kama kwenye huduma unafanya kwa uaminifu basi utafika mbali. nimechukua namba yako nitakutafuta mkuu nina mpango wa kusajiri upya kampuni ya ulinzi, ya awali nilisajiri jina la biashara ilikua muda kidogo by 2011.
 
nimekukubali sana mkuu uko vizuri kwenye marketing,kama kwenye huduma unafanya kwa uaminifu basi utafika mbali. nimechukua namba yako nitakutafuta mkuu nina mpango wa kusajiri upya kampuni ya ulinzi, ya awali nilisajiri jina la biashara ilikua muda kidogo by 2011.
Mkuu wala usiwe na shaka kuhusu uaminifu.Huwa ninaamini kwamba unapoamua kufanya kazi na watu hasa katika zama hizi za digitali TRUST is the KEY.Nimefanya kazi na watu kadhaa kutoka katika Mikoa ya Dodoma,Mwanza.Arusha,Mbeya.Iringa,Dar es Salaam,Geita,Shinyanga,Moshi na Tanga.Jambo nililojifunza katika hayo yote ni kwamba UAMINIFU wangu ulifanya nipate References za watu ambao hata hawajausoma huu uzi.PS.Ninapozungumzia uaminifu wangu sizungumzi kama INdividual bali nazungumza kama TIMU kwani kunapokuwa na workload kubwa huwa inabidi nipate na wataalamu wengine tufanye kazi pamoja kwani kwa idadi ya huduma tunazotoa na complexity yake kazi yetu inahitaji utulivu mkubwa,umakini mkubwa.

Hivyo basi nikukaribishe ili tufanye kazi pamoja.
 
Kwanini threads nzuri za kujenga kama hizi hazisomwi sana, na reply zake huwa chache sana, shukrani sana kwa elimu hii kuna kitu nimepata
Taifa letu Lina matatizo ya kuwa na watu wasiojua maesabu. Hata wasomi wengi ni mbumbu katika maesabu. Kwa iyo watu wote hawawezi kujua ivyo. Tukija katika soko la HISA na kwenyewe kuna wahuni hawatoi HESABU inayoakisi ukweli, kwa iyo inafanya watu wasitake kuingia uko kwenye HISA. Mfano mzuri VODACOM, kampuni kubwa lakini hawatoi GAWIO, na mfano mwingine ni hawa NICOL, hawajatoa GAWIO zaidi ya Miaka 20+. Sasa apa soko la wahuni litamfanya Nani aingie.
VODACOM kampuni kubwa lakini wahuni kila siku wao wanatangaza wanapata hasara, ili kuepukana na kuwapa GAWIO walionunua hiii imekaaa vibaya sana kiuchumi

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
About Us:

Masoko International Company is a Strategic Consulting Firm that utilizes modern consulting techniques and technologies to help our clients in identifying opportunities and utilizing them to scale up their businesses and promote growth.We aim to help SMEs in the process of transformation of their business and improvement of their business processes.We help them to improve their business and modernize them and ensure that they became competitive as per the modern economy ie in utilizing modern technologies,techniques and approaches in building their businesses.

We offer various service including Business Names Registration,Company registration,Processing of Licences and permits,Processing TIN and VAT for Business as well as advising on various TAX issues.We also offer NGOs Registration Services,SACCOS Registration,Societies Registrations Services,Registration of TRUSTS and Religious Organizations.We help in registration of Academic institutions at various level of education as well as advising our clients on the best approach and models to operate their business.

Our methodology and services are as highlighted bellow:
  1. We will advice you in the legal structure of your business its advantage and disadvantage
  2. We will conduct a research to identify a proper business name as per the market and industry that you operate
  3. We will work with you at every stage of registering your business from Preparation of Documents to the final stage.This will include,Registration of the Company,Registration for Tax,licences and permits.
  4. We will write for you a standard Company Profile describing your company in professional manner
  5. We will write for you a Company strategic Plan to define the strategic direction of your business
  6. We will build a modern website to showcase and describe your products and services
  7. We will do initial branding of your business ie LOGO,Business cards,headed papers and other business templates.
  8. We will install for you a basic accounting system to manage your business records as well as a TRA approved fiscal receipt system
  9. Depending on the nature of your business we will conduct initial Marketing of your business.
  10. We will help in identifying a proper bank to open a bank account.
  11. We will help you in the initial stage of formation of your business to ensure that you are able to navigate the startup world efficiently.
All our services are available as a package or as individual service items.We offer affordable and flexible payment program that ensures that we deliver quality services.If you or some one you know may need our services please contact us through Email:masokotz@yahoo.com or Call +255710323060.

Remember we at Masoko believe in your Success.
 
Back
Top Bottom