Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

Umeeleweka,ila hapo katika habari za chumvi kidogo...panayumba.Kama mambo yangekuwa rahisi hivyo wale ma "beach boys" wangekuwa pazuri maana wale bahari yao kama samaki.Ila naamini mafanikio yanakuja kwa "calibrated efforts 100%".Tatizo wengi efforts zetu hazina mahesabu tunakomaa sana output inakuwa chini.Sasa hayo ya chumvi tutayamaliza kisha tuanze kutegemea "luck".Tuongezee tufanye nini pia ili mambo yaende.Sio kuoga machumvi ya mawe kisha tunaenda katika interview au mishe yoyote bila kuwa equiped in terms of skills and competence.
Pia naamini mafanikio ya bahati bahati huwa yanakuwa ya mashaka na wakati wowote anguko linaweza kutokea
Wewe nimekuelewa zaidi

Sijawahi kuamini katika bahati bali struggle is real

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashauriwa ufanye visualization na affirmations ya nini unataka na uicommand subconcious mind kupokea na kuifanya kuwa need yako. Ukiweza hili then Subconscious mind inajua lugha ya kuongea na universe (call it nature, God, Allah, Buddha, whatever kwa imani yako) then universe itakuletea solutions. Chumvi inatoa negative energies (call it mapepo) kusaidia kufocus kuziconcentrante positive energies. Kuna uzi wa Mayalla nafikiri unaongelea nguvu ya kutenda miujiza ambayo kila binadamu anayo na anaitumia bila kujua sometimes una sehemu kubwa pia ya huu mjadala.

Kwenye kitabu ya cha Napoleon Hill Think and grow rich kuna point anaongelea kitu kinaitwa autosuggestion hii inatokea ndani (kwa kufikiria mwenyewe) au nje (kwa kusikiliza suggestions za watu) yani ni limiting power ambayo inakwamisha watu wengi sana na kuua sn vipaji. Subconscious mind inapokea kila unachokiwaza, kukiona, kukitaka, na unachoambiwa au kusikia kwa watu na kukikubali etc kwa mfano unajisemea mwenyewe "siwezi" au mtu anasema huwezi na wewe unakubaliana naye.

Autosuggestion ni km unasema nataka mwaka huu nipate pesa ya kujenga nyumba na kufanya affirmation (wengine wanaita kunuia) zako then unaanza kujiwekea negativitiy mwenyewe km kusema "lkn ntapata kweli pesa"? Ukianza kujiuliza mwenyewe wakati umeweka lengo mwenyewe unaiconfuse nature inashindwa kujua ikupe nini, unachotaka au yale mashaka yako (bahati mbaya sn nature inatoa negative kiurahisi zaidi kunapokuwa na mixed feelings so unakosa unachotaka au unapata kidgo).

Wana maombi na watu wa kiroho wanaposema wakikuombea amini umepona, ni kwamba wanataka ufanye affirmation na visualization kwamba umepata tayari unachotamka then nature inachukua mkondo wake. Hamna mtu anaponya Bali nia na matakwa yako yanapokuwa strong enough. Hata Yesu alisema imani yako imekuponya au nataka takasika hamna mahali alisema amekuponya!

Ukisema napata kazi mwezi huu usirudi tena kuanza kutilia mashaka imani yako mwenyewe. Amini, komaa na chukua hatua, utaona matokeo! Kuna video nyingi sana YouTube za visualization na affirmations zina maelezo mengi mazuri na wengi wanafanikiwa sana kwa njia hii tu. Actually wakubwa kama kina Gates, Steve Jobs, Branson, na matajiri wengine huwa wanafanya visualization ya nini wanataka, wanatengeneza michoro, ideas, concepts, rRamani,picha nk then wanacommand inaingia kwenye subconscious mind halafu njia za kuumba zinaletwa na universe, zinaletwaje ni topic ingine kubwa, ndo maana unakuta mtu mwenye ndoto anaweza kuiimba na kuieleza in details hata kabla haijatokea physically bado. Ukimuuliza mtu anayevisualize kuitengeneza mashine utashangaa anavyoileza km vile tayari ailishaiunda.

Sijui km nimerukaruka bila kumaliza points au naeleweka. Humbly...
Duh! Thanx much, angalau nimeambulia na mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nimekuelewa zaidi

Sijawahi kuamini katika bahati bali struggle is real

Sent using Jamii Forums mobile app
Kasahau kama kila kitu hua kinapimwa kwa Nia. Mfano Mungu anahukumu nia na matendo.. Ukiweka nia ya kuiba hapo tayari unakua umeshatenda dhambi. Ukienda kuiba unakua umeenda kutimiza nia yako. Kwa mantiki hiyo....
Beach boys wao wako pale kwa ajili ya kufanya kazi. Hawapo pale kwa nia kua yale maji yawasaidie kwa hili na hili.
Wanasema kila kitu ni manuizi. Hata maji ya kunywa ukisema nayatumia ili nipone tumbo waweza pona. Ukasema nayatumia ili nipone kichwa ukapona
 
Da'Vinci umenena kweli, binafsi nimekulia katika mazingira ambayo siwezi kuyaita ni ya kimaadili sana ila hali halisi ilininyima kujihusisha na tabia fulani fulani mfano uvutaji sigara na vingine vinavyofanana na hivyo!
  • Kimbembe ni ilipofika wakati wa kupenda ama niseme kutamani, kuna mtu mzima mmoja nilijaribu tu just in case na akanielewa,du tokea huyo nadhani nature alishika usukani kabisa maana asilimia 80 ya madanga yangu ni wadada walonizidi umri na wengine wamenipita hata miaka kumi na hilo halinipi shida, imefikia wakati ukiniona na mwanamke wa rika dogo ujue ni kama mnywaji wa pombe kali kaamua kunywa soda kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake ikiwa kupunguza hangover ama kuboost sukari.
  • Hapa siombi ushauri wala nini,memory hii hata nikisema niogee chumvi tani moja bila maji haiwezi kutoka so far imehifadhiwa kwenye satellite na nakala yake ipo kwenye cloud.
Haaahaaahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasahau kama kila kitu hua kinapimwa kwa Nia. Mfano Mungu anahukumu nia na matendo.. Ukiweka nia ya kuiba hapo tayari unakua umeshatenda dhambi. Ukienda kuiba unakua umeenda kutimiza nia yako. Kwa mantiki hiyo....
Beach boys wao wako pale kwa ajili ya kufanya kazi. Hawapo pale kwa nia kua yale maji yawasaidie kwa hili na hili.
Wanasema kila kitu ni manuizi. Hata maji ya kunywa ukisema nayatumia ili nipone tumbo waweza pona. Ukasema nayatumia ili nipone kichwa ukapona
Kweli mkuu, nimekuelewa vizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom