Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,124
Sasa we mwenyewe unajiwazia mabaya, halafu hapa unatoa Uzi jinsi ya kutoboa na natureNadhani ninatatizo kwenye personality yangu. Maana hata huku nilivo ni hv hv. Najiona kama ni kiumbe asiyefaa/asiye na maaana kuishi katikati ya watu. Ndio maana najistukia sana. I know this problem
Sisi kondoo wako itakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app