Je, unafahamu kwanini hakimu husema Kunyongwa hadi kufa?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,204
12,700
Grand wangu alinisimulia hii stori.

Alisema unajua kwanini jaji anapotoa hukumu husema unahukumiwa kunyongwa hadi kufa?

Hapo zamani kuna mtu alikuwa amefanya mauji. Alipoenda mahakamani akahukumiwa kifo. Sasa jaji akatamka kuwa unahukumiwa adhabu ya kunyongwa.

Siku ya kunyongwa yule bwana akatundikwa kwenye kamba na stuli ikapinduliwa. Alivyoning'inia kidogo akatokea mtu wa busara na anayeheshimika na kusema mshusheni haraka. Wakamshusha na kumuuliza kwanini umesema tumshushe?

Akawajibu, hukumu yake ilikuwa ni kunyongwa na si kunyongwa mpaka kufa, ameshatumikia adhabu yake.

Kuanzia siku hiyo majaji wamekuwa wakisema umehukumiwa "Kunyongwa mpaka kufa".
 
Kunyongwa hadi kufa ina maana ukiisha nyongwa inatakiwa ithibitishwe na daktari kwamba umekufa halafu marehemu anaandikiwa death certificate ndo kunyongwa hadi kufa. Halafu mnyongaji anakamatwa hapohapo na kushitakiwa kwa kosa ka kuuwa ushahidi kwamba kauwa ni hiyo dearth certificate
 
Grand wangu alinisimulia hii stori.

Alisema unajua kwanini jaji anapotoa hukumu husema unahukumiwa kunyongwa hadi kufa?

Hapo zamani kuna mtu alikuwa amefanya mauji. Alipoenda mahakamani akahukumiwa kifo. Sasa jaji akatamka kuwa unahukumiwa adhabu ya kunyongwa.

Siku ya kunyongwa yule bwana akatundikwa kwenye kamba na stuli ikapinduliwa. Alivyoning'inia kidogo akatokea mtu wa busara na anayeheshimika na kusema mshusheni haraka. Wakamshusha na kumuuliza kwanini umesema tumshushe?

Akawajibu, hukumu yake ilikuwa ni kunyongwa na si kunyongwa mpaka kufa, ameshatumikia adhabu yake.

Kuanzia siku hiyo majaji wamekuwa wakisema umehukumiwa "Kunyongwa mpaka kufa".
🥒🥒🥒🌲🌳🌴🌳🌲🌳🌴🌲🌲🌳🌴🌲🌱🌱🦕🐍🦎🐻🦔🐗🐃🐹🦒🐘🦏
 
Grand wangu alinisimulia hii stori.

Alisema unajua kwanini jaji anapotoa hukumu husema unahukumiwa kunyongwa hadi kufa?

Hapo zamani kuna mtu alikuwa amefanya mauji. Alipoenda mahakamani akahukumiwa kifo. Sasa jaji akatamka kuwa unahukumiwa adhabu ya kunyongwa.

Siku ya kunyongwa yule bwana akatundikwa kwenye kamba na stuli ikapinduliwa. Alivyoning'inia kidogo akatokea mtu wa busara na anayeheshimika na kusema mshusheni haraka. Wakamshusha na kumuuliza kwanini umesema tumshushe?

Akawajibu, hukumu yake ilikuwa ni kunyongwa na si kunyongwa mpaka kufa, ameshatumikia adhabu yake.

Kuanzia siku hiyo majaji wamekuwa wakisema umehukumiwa "Kunyongwa mpaka kufa".
Matumizi ya alama ya mkato kwenye adhabu ya kifo ni muhimu sana.. Jamaa alinusurika kifo kwa matumizi ya hiyo alama .. Hakimu aliandika hivi

Hang him not, let him go...!!! Kumbe alipaswa kuandika hivi
Hang him, not let him go...!!!
 
Grand wangu alinisimulia hii stori.

Alisema unajua kwanini jaji anapotoa hukumu husema unahukumiwa kunyongwa hadi kufa?

Hapo zamani kuna mtu alikuwa amefanya mauji. Alipoenda mahakamani akahukumiwa kifo. Sasa jaji akatamka kuwa unahukumiwa adhabu ya kunyongwa.

Siku ya kunyongwa yule bwana akatundikwa kwenye kamba na stuli ikapinduliwa. Alivyoning'inia kidogo akatokea mtu wa busara na anayeheshimika na kusema mshusheni haraka. Wakamshusha na kumuuliza kwanini umesema tumshushe?

Akawajibu, hukumu yake ilikuwa ni kunyongwa na si kunyongwa mpaka kufa, ameshatumikia adhabu yake.

Kuanzia siku hiyo majaji wamekuwa wakisema umehukumiwa "Kunyongwa mpaka kufa".
Hii ni Chai sasa
 
Grand wangu alinisimulia hii stori.

Alisema unajua kwanini jaji anapotoa hukumu husema unahukumiwa kunyongwa hadi kufa?

Hapo zamani kuna mtu alikuwa amefanya mauji. Alipoenda mahakamani akahukumiwa kifo. Sasa jaji akatamka kuwa unahukumiwa adhabu ya kunyongwa.

Siku ya kunyongwa yule bwana akatundikwa kwenye kamba na stuli ikapinduliwa. Alivyoning'inia kidogo akatokea mtu wa busara na anayeheshimika na kusema mshusheni haraka. Wakamshusha na kumuuliza kwanini umesema tumshushe?

Akawajibu, hukumu yake ilikuwa ni kunyongwa na si kunyongwa mpaka kufa, ameshatumikia adhabu yake.

Kuanzia siku hiyo majaji wamekuwa wakisema umehukumiwa "Kunyongwa mpaka kufa".
Hadithi ya paka na panya vp inatufundisha nini mkuu.
 
Back
Top Bottom