ivunya
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 2,281
- 2,167
Acha Uongo weweWarusi waliiuza kwa Hiari tu. Diplomasia na ushawishi wa Rais wa Marekani enzi hizo Andrew Johnson pamoja na waziri wake wa mambo ya nje Williams H Seward zilizaa matunda kwa kushawishi kiongozi wa urusi enzi hizo Czars Alexander II kukubali kumuuzia Marekani Alska 7. 4 million dollars.
Senate ya Marekani ilimpinga sana Andrew Johnson ila alisamamia hapo hapo na sasa Marekani inaona matunda yake ukiondoa steatwgy iliyogwanyishwa na Barent sea or straight Alaska kuna rasilimali tofauri nyingimafuta fesi na misitu.
Urusi inasikitika sana kuwazia Marekani Alaska. Na kama bado Alaska ingekuwa ya Urusi basi Urusi ingekuwa Ulaya, Central Asia, south east Asia na bara la Marekani.
Jimbo lingine Marekani kulinunua ni Louisiana kutoka kwa wafaransa.
Kulikuwa kuna Vita kati ya Urusi na British. Hii ndio sababu