kidereko
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 882
- 1,254
Wafuasi wa dikteta muuaji Kama vip hameni NchiKifupi Mwanamke hatakiwi kuwa kiongozi basi ni mpango wa shetani kutaka hilo vitabu vya dini vimeelekeza hilo.
Wafuasi wa dikteta muuaji Kama vip hameni NchiKifupi Mwanamke hatakiwi kuwa kiongozi basi ni mpango wa shetani kutaka hilo vitabu vya dini vimeelekeza hilo.
NdioMlikuwa mnaua wote?
Sasa unamlaumu nini au ulikuwa hupati mgao wako ?Ndio
Kwani ushenzi wa yule ibilisi ulikuwa Ni Siri????Tabia ya kike kike ya kutoa siri za nyumbani kwako ni janga na laana kwa taifa. Huyu Maza kakosea sana hajui tu.
Sana sana namba 2 na 3 ndio lengo kuu1. Anamshtakia Hayati Rais Magufuli kwa Wamarekani?
2. Anataka Kujitofautisha nae ili Wamarekani wampe sana Misaada?
3. Anawaomba Msamaha Kidiplamasia ili Wamarekani wampende?
4. Anathibitisha kuwa Waafrika wote tuna PhD's za Unafiki na Uzandiki tukiwa mbele ya Wazungu?
5. Anawaambia kama ameshindwa kutoa Siri hiyo Kwetu Watanzania na kaenda kuitolea huko Marekani hivyo hata wakihitaji Siri zingine za Kuichukua moja kwa moja Tanzania and we are kuwapa tu?
6. Amewawashia Taa ya Kijani Wamarekani kuwa kwa sasa Tanzania iko chini ya Bibi Mstaarabu na siyo Mkorofi Mwerevu aliyeondoka na Israeli, hivyo wanaweza kuja kuendelea kufanya Tanzania ni Shamba lao la Bibi kama zamani?
7. Anawataarifu rasmi kuwa sasa Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni yao hivyo Washindwe tu wenyewe.
Sawa ka'habaWW ni kima tu
Haaaa Alipo mama na sisi tupoNgoja Team Kumtetea wake waje kukujibu Ndugu. Usikae mbali tafadhali kwani nao hivi sasa wako busy Kuandika nini cha Kukujibu ili uridhike.
Kwa kweli hii ilikuwa ni fedheha kubwa kwa nchi yetu, inabidi akumbushwe kuwa inawezekana hata makamu wake Dr. plan pia nae hamwelewi lakini kwa hekima zake sidhani kama anaweza kutamka hayo maneno si ughaibuni tu bali hata ndani ya nchi. Kwa kw2eli mama wa kupapaswa na kupuliza mfuuuuuuu kachemka.Ni inferiority tu kwa wazungu unajikuta unaropoka na maswala ambayo ni domestic politics per se na maswala ya ndani ya kiutawala.......yaani ni sawa na kwenda kuwasimulia majirani ishu za nyumbani kwako, kwamba mkeo aligoma kukupakulia msosi...
1. Anamshtakia Hayati Rais Magufuli kwa Wamarekani?
2. Anataka Kujitofautisha nae ili Wamarekani wampe sana Misaada?
3. Anawaomba Msamaha Kidiplamasia ili Wamarekani wampende?
4. Anathibitisha kuwa Waafrika wote tuna PhD's za Unafiki na Uzandiki tukiwa mbele ya Wazungu?
5. Anawaambia kama ameshindwa kutoa Siri hiyo Kwetu Watanzania na kaenda kuitolea huko Marekani hivyo hata wakihitaji Siri zingine za Kuichukua moja kwa moja Tanzania and we are kuwapa tu?
6. Amewawashia Taa ya Kijani Wamarekani kuwa kwa sasa Tanzania iko chini ya Bibi Mstaarabu na siyo Mkorofi Mwerevu aliyeondoka na Israeli, hivyo wanaweza kuja kuendelea kufanya Tanzania ni Shamba lao la Bibi kama zamani?
7. Anawataarifu rasmi kuwa sasa Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni yao hivyo Washindwe tu wenyewe.
Fedheha kwenu nyie wangeseKwa kweli hii ilikuwa ni fedheha kubwa kwa nchi yetu, inabidi akumbushwe kuwa inawezekana hata makamu wake Dr. plan pia nae hamwelewi lakini kwa hekima zake sidhani kama anaweza kutamka hayo maneno si ughaibuni tu bali hata ndani ya nchi. Kwa kw2eli mama wa kupapaswa na kupuliza mfuuuuuuu kachemka.
Kumbe Rais Samia ameongeza Mishahara? Nilikuwa sijui.Ni hiviiii!?? Sio mama samia tuu alipata ugumu Bali watumishi wote wa umma kwan hawakuongezwa mshahara katika kipindi cha magu!!! Hivyo wapo pamoja na mama!!? Eboo!?? Kama hutaki kalinde kaburi
Raisi magufuli alikuwa fedhuli. Mtu asiyejali utu utu aliamini kwamba kiongozi mzuri ni kiongozi mfokaji, fedhuli na asiyejali1. Anamshtakia Hayati Rais Magufuli kwa Wamarekani?
2. Anataka Kujitofautisha nae ili Wamarekani wampe sana Misaada?
3. Anawaomba Msamaha Kidiplamasia ili Wamarekani wampende?
4. Anathibitisha kuwa Waafrika wote tuna PhD's za Unafiki na Uzandiki tukiwa mbele ya Wazungu?
5. Anawaambia kama ameshindwa kutoa Siri hiyo Kwetu Watanzania na kaenda kuitolea huko Marekani hivyo hata wakihitaji Siri zingine za Kuichukua moja kwa moja Tanzania and we are kuwapa tu?
6. Amewawashia Taa ya Kijani Wamarekani kuwa kwa sasa Tanzania iko chini ya Bibi Mstaarabu na siyo Mkorofi Mwerevu aliyeondoka na Israeli, hivyo wanaweza kuja kuendelea kufanya Tanzania ni Shamba lao la Bibi kama zamani?
7. Anawataarifu rasmi kuwa sasa Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni yao hivyo Washindwe tu wenyewe.
Raisi magufuli alikuwa fedhuli. Mtu asiyejali utu utu aliamini kwamba kiongozi mzuri ni kiongozi mfokaji, fedhuli na asiyejali
Kumbe Rais Samia ameongeza Mishahara? Nilikuwa sijui.
Utajulia wapi wakati uko busy na ile ID ya siku zote kwenye mambo ya soka!Kumbe Rais Samia ameongeza Mishahara? Nilikuwa sijui.
Id yako naona umeisahau, utairudia tena pindi ile nyingine ikila ban.Kumbe Rais Samia ameongeza Mishahara? Nilikuwa sijui.