Lighondi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 581
- 184
Ni kweli unavyosema bwana Kasheshe
Wapinzani hawana dira. Inaonekana na kueleweka hivyo kutokana na halihalisi ya mazingira wanayoendeshea siasa zao kuanzia gharama za uendeshaji, ushindani uliopo na chama tawala, media coverage, matumizi ya state machineries, falsafa potofu zinazoendeshwa na chama tawala dhidi ya vyama vya upinzani, level ya uelewa ya watu wetu kuhusu mambo ya siasa, matumizi ya jina "WAPINZANI" na maana halisi kwa watu wa kawaida [ambao ndio wengi wa wapiga kura] na mengine mengi.
Ni kweli vilevile kwamba CCM wana dira na ni dira hiyohiyo ndio iliyotufikisha hapa tulipo [kila moja anajua mahali alipo kwa sababu sio wote tupo sehemu moja-kuna walio mbele yetu kwenye hii safari ya maisha bora ndio maana wanatetea dira iliyopo]
Kwa maelezo haya ninashawishika kuamini kuwa opposition wakiingia ikulu tunaweza kuona upande wa pili wa shillingi achilia mbali hujuma za wale watakaokuwawameenguliwa kwenye sistim. Why? Tutakuwa na dira tofauti na hii ya sasa.
Wapinzani hawana dira. Inaonekana na kueleweka hivyo kutokana na halihalisi ya mazingira wanayoendeshea siasa zao kuanzia gharama za uendeshaji, ushindani uliopo na chama tawala, media coverage, matumizi ya state machineries, falsafa potofu zinazoendeshwa na chama tawala dhidi ya vyama vya upinzani, level ya uelewa ya watu wetu kuhusu mambo ya siasa, matumizi ya jina "WAPINZANI" na maana halisi kwa watu wa kawaida [ambao ndio wengi wa wapiga kura] na mengine mengi.
Ni kweli vilevile kwamba CCM wana dira na ni dira hiyohiyo ndio iliyotufikisha hapa tulipo [kila moja anajua mahali alipo kwa sababu sio wote tupo sehemu moja-kuna walio mbele yetu kwenye hii safari ya maisha bora ndio maana wanatetea dira iliyopo]
Kwa maelezo haya ninashawishika kuamini kuwa opposition wakiingia ikulu tunaweza kuona upande wa pili wa shillingi achilia mbali hujuma za wale watakaokuwawameenguliwa kwenye sistim. Why? Tutakuwa na dira tofauti na hii ya sasa.
Last edited: