Icon Special
JF-Expert Member
- Mar 14, 2019
- 257
- 230
*Je, una kitambi?*
*Je, una michirizi ya unene?*
*Je, una shepu isiyovutia?*
*Je, una nywele za kipilipili?*
*Je, una meno ya njano?*
*Je, una chunusi, harara au mabaka kwenye ngozi yako?*
*Je, una nywele zinazokatika?*
*Mshukuru Mungu kukuumba hivyo hamna namna nyingine.
Ulitaka awe navyo nani sasa kama sio wewe?*
*Je, una michirizi ya unene?*
*Je, una shepu isiyovutia?*
*Je, una nywele za kipilipili?*
*Je, una meno ya njano?*
*Je, una chunusi, harara au mabaka kwenye ngozi yako?*
*Je, una nywele zinazokatika?*
*Mshukuru Mungu kukuumba hivyo hamna namna nyingine.
Ulitaka awe navyo nani sasa kama sio wewe?*