Tushirikishane
Member
- Aug 9, 2016
- 13
- 67
Mbunge wa Kigoma-Ujiji, Zitto Zuberi Kabwe Zitto amekuwa akishirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa, Wananchi na Viongozi wa Manispaa katika kuleta maendeleo jimboni kwake kupitia mradi wa Tushirikishane.
Kufanikiwa kwa maazimio haya ya maendeleo kunategemea pia mchango wa wadau mbalimbali wa maendeleo ndani na nje ya Manispaa ya Kigoma.
Je una maoni yeyote kwa Mbunge kuhusu utekelezaji wa maendeleo jimboni mwake?
Una swali lolote kwa Mbunge? Unapendezewa na namna mbunge wako anafanya kazi?
Kwa mjadala wa Mradi wa Tushirikishane Kigoma, tembelea => TUSHIRIKISHANE - Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigoma Mjini