GLOBAL CITIZEN
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 767
- 1,655
Mambo vipi?
Una idea ya biashara unayotaka kuifanyia mtandaoni lakini hufahamu utaanzaje? Hufahamu utapata vipi Wateja watakaonunua bidhaa/product au huduma/service yako? Hufahamu utawezaje kukuza biashara yako na kuwa biashara inayoeleweka? Kama ndiyo nipo tayari kukusaidia Step by step toka mwanzo wa idea yako hadi kuwa real Business.
Binafsi nipo na uzoefu sehemu hii. Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikifanya Online Business/Hustle na nimefanikiwa kuunda Business kadhaa. Kuanzia mwezi December mwaka jana nimeweza kuunda brand yangu ya Online Hustle Tz (Online Business Consulting) na nimetengeneza zaidi ya Tsh 5M in total profit. Hii Business ni 100% Online. Na zaidi ya 90% ya kazi nafanyia kwenye smartphone yangu. Strategy yangu yakuunda Online Business ni simpe lakini very effective.
1 • Nitakusaidia kuweka idea yako vizuri ili iwe inauzika Online. Kumbuka si kila idea inaweza kuwa business hata kama unadhani ni nzuri vipi. Na ili Online Business yako ifanikiwe inabidi uanze vizuri hapa mwanzo.
2 • Nitakuonyesha jinsi yakupata Wateja watakaokunamini. Hapa ni muhimu sana. If you don’t know how to get customers/clients basi huna biashara. Nitaweka mkazo hapa kwasababu lengo ni kupata customers watakokulipa pesa.
3 • Jinsi yakufanya automation ili usiwe na mzigo mkubwa wakusimamia Business yako. Sasa hivi zipo software nyingi zinazoweza kupunguza kazi nyingi zakujirudia rudia. Hapa nitakakuonyesha jinsi ninavyoendesha Brand yangu nikiwa mwenyewe kwa msaada wa software chache.
4 • Jinsi yaku-scale up biashara yako. Hapa ni baada ya kupata mafanikio ya awali. Nitakusaidia kukuonyesha mbinu zakuwafikia potential customers wengi zaidi huku ukiendelea kujenga trust kwa customers wa awali.
Niandikie kwenye email yangu makingmoneyonlinetz@gmail.com I will reply every single email.
Una idea ya biashara unayotaka kuifanyia mtandaoni lakini hufahamu utaanzaje? Hufahamu utapata vipi Wateja watakaonunua bidhaa/product au huduma/service yako? Hufahamu utawezaje kukuza biashara yako na kuwa biashara inayoeleweka? Kama ndiyo nipo tayari kukusaidia Step by step toka mwanzo wa idea yako hadi kuwa real Business.
Binafsi nipo na uzoefu sehemu hii. Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikifanya Online Business/Hustle na nimefanikiwa kuunda Business kadhaa. Kuanzia mwezi December mwaka jana nimeweza kuunda brand yangu ya Online Hustle Tz (Online Business Consulting) na nimetengeneza zaidi ya Tsh 5M in total profit. Hii Business ni 100% Online. Na zaidi ya 90% ya kazi nafanyia kwenye smartphone yangu. Strategy yangu yakuunda Online Business ni simpe lakini very effective.
1 • Nitakusaidia kuweka idea yako vizuri ili iwe inauzika Online. Kumbuka si kila idea inaweza kuwa business hata kama unadhani ni nzuri vipi. Na ili Online Business yako ifanikiwe inabidi uanze vizuri hapa mwanzo.
2 • Nitakuonyesha jinsi yakupata Wateja watakaokunamini. Hapa ni muhimu sana. If you don’t know how to get customers/clients basi huna biashara. Nitaweka mkazo hapa kwasababu lengo ni kupata customers watakokulipa pesa.
3 • Jinsi yakufanya automation ili usiwe na mzigo mkubwa wakusimamia Business yako. Sasa hivi zipo software nyingi zinazoweza kupunguza kazi nyingi zakujirudia rudia. Hapa nitakakuonyesha jinsi ninavyoendesha Brand yangu nikiwa mwenyewe kwa msaada wa software chache.
4 • Jinsi yaku-scale up biashara yako. Hapa ni baada ya kupata mafanikio ya awali. Nitakusaidia kukuonyesha mbinu zakuwafikia potential customers wengi zaidi huku ukiendelea kujenga trust kwa customers wa awali.
Niandikie kwenye email yangu makingmoneyonlinetz@gmail.com I will reply every single email.