Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,004
Anayetajwa kuanzisha hiki chama anayeitwa Seif Maalim Seif ni miongoni mwa watu maalum waliotumika na kitengo kuhadaa dunia kuhusu Uchaguzi wa 2020 , aligombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , ni miongoni mwa Wagombea ambao hawakupigiwa kura lakini aliambulia kura maalum za Tume ya Uchaguzi .
Ni mtu wa Aina ya Kadawi Limbu , huyu alipachikwa Cuf ya Lipumba kwa mpango maalum na kugombea Ubunge Jimbo la Temeke, aliwezeshwa kila kitu na serikali ya wakati ule , Kuanzia matarumbeta hadi posho za wapambe , baadaye tena akawa mwanzilishi wa Chama cha serikali cha CCJ na baadaye akahama na kuwa mwanzilishi wa ACT ambayo ililetwa mahususi na serikali ya wakati ule ili kujaribu kupunguza nguvu ya Chadema.
Baada ya kuliona hilo nimegundua kwamba hii Umoja Party ni mpango maalum wa kupumbaza wale wanadhaniwa kuwa kundi la Mwendazake , hata wale waliovishwa fulana zenye picha ya Magufuli ni watu maalum .
Tutaendelea kuwafahamisha kila tunaloliona kwenye sarakasi hizi ili kuokoa Taifa .
Msiondoke JF
Ni mtu wa Aina ya Kadawi Limbu , huyu alipachikwa Cuf ya Lipumba kwa mpango maalum na kugombea Ubunge Jimbo la Temeke, aliwezeshwa kila kitu na serikali ya wakati ule , Kuanzia matarumbeta hadi posho za wapambe , baadaye tena akawa mwanzilishi wa Chama cha serikali cha CCJ na baadaye akahama na kuwa mwanzilishi wa ACT ambayo ililetwa mahususi na serikali ya wakati ule ili kujaribu kupunguza nguvu ya Chadema.
Baada ya kuliona hilo nimegundua kwamba hii Umoja Party ni mpango maalum wa kupumbaza wale wanadhaniwa kuwa kundi la Mwendazake , hata wale waliovishwa fulana zenye picha ya Magufuli ni watu maalum .
Tutaendelea kuwafahamisha kila tunaloliona kwenye sarakasi hizi ili kuokoa Taifa .
Msiondoke JF