Je umewahi kuuona mwandiko ya Jakaya Kiwete?, kama bado basi pitia hapa uuone

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,477
20,383
Sio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
E95rVa0X0AUIRMu.jpg

Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba
 
Sio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
View attachment 1914161
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba
Haya mkuu!
 
Sio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
View attachment 1914161
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba
unaweza kutupatia mwandiko wa JPM
 
Sio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
View attachment 1914161
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba
Haiwezekani hiki kiingereza kikawa cha Kikwete!:oops: :oops::oops:

A pleasure to visit with you?
Experience in many field?
Including agriculture which brought me here today?
We thank you for the time you took to see me?
 
1631894067697.png


Na huyu nae?

This was sad and pity story?
I wish it was a story? (you just said it was) just to find it was a reality?
God bless them all to allow them to meet?

Jamani huko ikulu hakuna kazi za kutoa tuition ya kiingereza niombe?
 
Sio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
View attachment 1914161
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba
enzi zao huu ni mwandiko wa kutongozea demu akakukubalia kabisa. La ila kikwete itakuwa keshawala wengi sana.
 
Sio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
View attachment 1914161
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba


Hata bila kuandika former angefahamika tu
 
Back
Top Bottom