Huu ni utabiri anaye taka abishe anaye kubali akubali.
Yapo mambo mawili makubwa yatatokea kwenye kipindi cha miaka 50 kutoka sasa.
Jambo la kwanza ambalo tutaliona ktk kipindi cha miaka 50 kutoka sasa litategemea na utashi wa kisiasa chini ya serikali ya ccm.
Ikiwa ccm atakuwa na ndoto kuendelea kuwa chama kina tawala either kwa box la uchaguzi au kwa mabavu na kuona hakuna chama kitaweza tawala ila ccm basi kwa aina ya utaratibu wanatumia ndani ya chama kuchaguwa viongozi na kutengeneza watoto wao kutawala uko mbeleni hali itakuwa ndivyo sivyo.
Siasa zitatufanya kuto songa mbele na juyafikia mataifa jirani na upo uwezekano siasa zetu zikawa zina ongozwa na mabepari wa chache toka nchi jirani jambo litafanya taifa hili kuwa vipande au blocks.
Maana wenzetu hawalali wanawaza kutugawa ccm waliamini kwa wao
Yapo mambo mawili makubwa yatatokea kwenye kipindi cha miaka 50 kutoka sasa.
Jambo la kwanza ambalo tutaliona ktk kipindi cha miaka 50 kutoka sasa litategemea na utashi wa kisiasa chini ya serikali ya ccm.
Ikiwa ccm atakuwa na ndoto kuendelea kuwa chama kina tawala either kwa box la uchaguzi au kwa mabavu na kuona hakuna chama kitaweza tawala ila ccm basi kwa aina ya utaratibu wanatumia ndani ya chama kuchaguwa viongozi na kutengeneza watoto wao kutawala uko mbeleni hali itakuwa ndivyo sivyo.
Siasa zitatufanya kuto songa mbele na juyafikia mataifa jirani na upo uwezekano siasa zetu zikawa zina ongozwa na mabepari wa chache toka nchi jirani jambo litafanya taifa hili kuwa vipande au blocks.
Maana wenzetu hawalali wanawaza kutugawa ccm waliamini kwa wao