The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,456
- 17,193
Je, umewahi kujiuliza kwa nini Rais Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara kodi za miaka ya nyuma, ambazo ni kodi halali kabisa wanazodaiwa na mamlaka ya kodi? Kumbuka mwezi June Rais Samia aliwaagiza TRA wasiwasumbue wafanyabiashara kwa kuwadai kodi za miaka ya nyuma isipokuwa za mwaka jana pekee.
Jibu ni moja tu, Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara, halafu akaamua zile kodi walizokua wanadaiwa wafanyabiashara, wafanyakazi wawasaidie wafanyabiashara kulipa kwa kukatwa tozo kwenye mishahara yao ambayo tayari imekashakatwa kodi.
Tozo ni fidia ya kodi ambayo Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara. Samia anajali tabaka la juu na anakamua tabaka la chini kwa maslahi ya tabaka la juu la wafanyabishara!
Jibu ni moja tu, Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara, halafu akaamua zile kodi walizokua wanadaiwa wafanyabiashara, wafanyakazi wawasaidie wafanyabiashara kulipa kwa kukatwa tozo kwenye mishahara yao ambayo tayari imekashakatwa kodi.
Tozo ni fidia ya kodi ambayo Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara. Samia anajali tabaka la juu na anakamua tabaka la chini kwa maslahi ya tabaka la juu la wafanyabishara!