feraday10
Member
- Aug 30, 2020
- 34
- 19
Moja kwa moja niende katika mada
Maisha ni safari ndefu sana na wengne hupenda kusema maisha ni mzunguuko, kila mtu husema lake kulingana na sababu zake.
Katika mizunguuko yangu kipindi hicho nasoma Mchikichini Tuition kwa mbuga nilikutana na Mwanamke mzuri sana ya kiarabu
‘Mtoto’ alinielewa sana nami nilimwelewa alifikia hatua hadi ya kunilipia mapindi na kunipeleka hadi kwao kwa dada ake na dada yake alikuwa ni mwalimu
Lakini muuni kipindi hicho nilikuwa najiamini Sana maana nilikuwa nasoma shule moja ya kipaji mjini Morogoro
Lakini cha kushangaza hayo mapnzi yalidumu mwezi mmoja tu kipindi cha likizo, ilivyoisha likizo tukaagana simu tulikuwa hatuna wote ndiyo hatukuonana tena hadi leo
Je, ishawahi kukutokea na wewe?
Maisha ni safari ndefu sana na wengne hupenda kusema maisha ni mzunguuko, kila mtu husema lake kulingana na sababu zake.
Katika mizunguuko yangu kipindi hicho nasoma Mchikichini Tuition kwa mbuga nilikutana na Mwanamke mzuri sana ya kiarabu
‘Mtoto’ alinielewa sana nami nilimwelewa alifikia hatua hadi ya kunilipia mapindi na kunipeleka hadi kwao kwa dada ake na dada yake alikuwa ni mwalimu
Lakini muuni kipindi hicho nilikuwa najiamini Sana maana nilikuwa nasoma shule moja ya kipaji mjini Morogoro
Lakini cha kushangaza hayo mapnzi yalidumu mwezi mmoja tu kipindi cha likizo, ilivyoisha likizo tukaagana simu tulikuwa hatuna wote ndiyo hatukuonana tena hadi leo
Je, ishawahi kukutokea na wewe?