Jackline Bahath
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 681
- 627
😂😂😂 ww noma
HahahMie nikiwa chuo nilimtumia mama(dada) yangu ujumbe wa bf, walah nilitamani kuudaka ule ujumbe hewani kabla haujamfikia.
Dada aliuchuna kama hajauona, kurudi nyumbani likizo nikakalishwa kuoewa nasaha, haki nilijisikia vibaya na aibu juu
Haha yaani utasema mtakatifu kweli vile dahh ...Najutia ushauri wangu ngoja nifute comment zangu yaani na mshauri mtu mchepukaji haiwezekani
you made my night
Asante ....Naona umekumbuka " Yaliyo kupata ... basi usilale bila kutupatia ushuhuda wako hapa ..you made my night
😄😄 namshukuru mungu sijawahi kutwa na hilo balaa,ila nilikutwa na kisanga kingine kbsAsante ....Naona umekumbuka " Yaliyo kupata ... basi usilale bila kutupatia ushuhuda wako hapa ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol " haya bwana ... hicho kisanga kingine nitakifuatilia mpaka unijuzenamshukuru mungu sijawahi kutwa na hilo balaa,ila nilikutwa na kisanga kingine kbs
😂😂 weee acha kbs.Lol " haya bwana ... hicho kisanga kingine nitakifuatilia mpaka unijuze
Sent using Jamii Forums mobile app
weee acha kbs.
Umbea sio kitu kizuri,sina hamu mm jackie
mkuu ukiona nang'ata maneno ujue jibu lenyewe linaweza kuwa topic,😂😂 ngoja tulumezee tuHahaha Aisee .. ilikuwaje jack au tuliache tu kwanza ... maana yaonyesha hilo tukio waweza kulianzishia Topic kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa haina shida " Usisahau kulianzishia uzi hilo tukio ... ili tuweze kupata mawili matatu ya kukifunzamkuu ukiona nang'ata maneno ujue jibu lenyewe linaweza kuwa topic, ngoja tulumezee tu
Nitafanya hivyo kwa ajili yako boss,ingawa sijawahi kuleta uzi jf kwa mara ya kwnz nitaletaSawa haina shida " Usisahau kulianzishia uzi hilo tukio ... ili tuweze kupata mawili matatu ya kukifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Dahh huo ni mtihani mkubwa sanaBora hata alimtumia bi mkubwa japo ni aibu lakini inasitirika. Hiyo ukitaka kuiinjoy zaidi uwe na mke anayekuamini na kukupenda sana na unampenda pia halafu ukosee kama huyo Joph na huo ujumbe wake uende kwa wife. Itakujia hadi option ya kujiua
Haina shida " hata kama haupendi kuleta ..basi waweza kuleta mara chache chache tu ..inatoshaNitafanya hivyo kwa ajili yako boss,ingawa sijawahi kuleta uzi jf kwa mara ya kwnz nitaleta
sawa bossHaina shida " hata kama haupendi kuleta ..basi waweza kuleta mara chache chache tu ..inatosha
Sent using Jamii Forums mobile app