lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,382
Huu Mchezo usiuchezee wewe..
Hizi mambo za kukosea namba zipo sana, na wengine wameoa na kuolewa na wakosea namba (snipers).
(A) Basi bwana siku nime relax pahala. Mara ghafla namba ngeni ikajaa kunako Mobiteli yangu.. ile kupokea nasikia sauti mlemda (laini) mazungumzo ya hapa na pale nikajua tu kakosea namba, ila tamaa tamaa zangu nami nikakazia humo humo, at last nikaja kula ile chalii ya Songea..
(B). Ila hii niliingia choo cha watoto (nilinyea Pot).
Jamaa lipo muleba huko limekazana kunipigia namuelekeza umekosea namba, ila jamaa kakomaa na mimi kuwa NAMPANDA wife wake na Atanionesha.duh kila nikipangua shutuma jamaa kakaza.sasa mimi Mbeya na muleba wapi na wapi..?? Nikaona sio Kesi nilimblock na habari ikaishia hapo..ni miaka miwili sasa sijui bado anataka nionesha au vipi(mshana nichekie katika rada yako mkuu).....
Vipi huko kwenu wana nzengo..
Hizi mambo za kukosea namba zipo sana, na wengine wameoa na kuolewa na wakosea namba (snipers).
(A) Basi bwana siku nime relax pahala. Mara ghafla namba ngeni ikajaa kunako Mobiteli yangu.. ile kupokea nasikia sauti mlemda (laini) mazungumzo ya hapa na pale nikajua tu kakosea namba, ila tamaa tamaa zangu nami nikakazia humo humo, at last nikaja kula ile chalii ya Songea..
(B). Ila hii niliingia choo cha watoto (nilinyea Pot).
Jamaa lipo muleba huko limekazana kunipigia namuelekeza umekosea namba, ila jamaa kakomaa na mimi kuwa NAMPANDA wife wake na Atanionesha.duh kila nikipangua shutuma jamaa kakaza.sasa mimi Mbeya na muleba wapi na wapi..?? Nikaona sio Kesi nilimblock na habari ikaishia hapo..ni miaka miwili sasa sijui bado anataka nionesha au vipi(mshana nichekie katika rada yako mkuu).....
Vipi huko kwenu wana nzengo..