NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Kumekuwepo tabia ya watu wakifika kwenye kituo cha mafuta ni kuvuta kifuniko cha tank na kujaziwa mafuta baada ya kupimiwa huondoka.
Jambo hili ni la hatari sana kwani kama ukipata madhara kwenye gari lako hutaweza kudai gharama ya matengenezo iwapo huna kidhibitisho hata wale mafisadi EWURA wametoa tangazo hili
"Pia inaelekeza mnunuzi kuhakikisha anapata stakabadhi ya malipo inayoonyesha jina la kituo, tarehe na aina ya mafuta aliyonunua na bei kwa lita kwani ndiyo kidhibiti endapo yanajitokeza malalamiko ya ama kuuziwa kwa bei ya juu kuliko ya kikomo au kuuziwa mafuta yasiyokuwa na kiwango."
Je wewe huwa unadai risiti????
Jambo hili ni la hatari sana kwani kama ukipata madhara kwenye gari lako hutaweza kudai gharama ya matengenezo iwapo huna kidhibitisho hata wale mafisadi EWURA wametoa tangazo hili
"Pia inaelekeza mnunuzi kuhakikisha anapata stakabadhi ya malipo inayoonyesha jina la kituo, tarehe na aina ya mafuta aliyonunua na bei kwa lita kwani ndiyo kidhibiti endapo yanajitokeza malalamiko ya ama kuuziwa kwa bei ya juu kuliko ya kikomo au kuuziwa mafuta yasiyokuwa na kiwango."
Je wewe huwa unadai risiti????