JE UMEKOSA MTOTO SABABU YA UGUMBA! PATA TIBA HARAKA!

mkafrend

JF-Expert Member
May 12, 2014
3,047
1,503
WanaJF, Salaam!

Kwa kipindi kirefu nimekutana na wengi ambao wameolewa au kuoa lakini hawakujaliwa kupata watoto sababu za kiafya. Nimekuwa nikitoa matibabu kwa njia ambazo si za kutangaza na wateja wangu wamefanikiwa.

Nachoweza kusema ni kwamba dawa yangu ni ya miti ya asili kabisa (Edeni Spicies) na hazina masharti ya ajabu ajabu zaidi ya kuzitumia kama lishe kwenye uji, chai au supu. Hivyo, iwapo wewe ni muhitaji, rafiki yako, ndugu yako au jamaa yako mwelekeze apate tiba ya uhakika haraka.

Kliniki yangu ipo kwa siku sita za wiki (Jumapili - Ijumaa) na siku ya Jumamosi naitumia kwa mapumziko sababu mimi ni mmoja wa waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA). Karibu nikuhudumie.

Mawasiliano ni
Msakila Mussa
S. L. P 299
BUKOBA

Simu:- +255788 628 696
+255622 950 152
E-Mail: kmsakila@yahoo.com
 
Elezea kiundani mechanism of action ya hiyo dawa inayomfanya mgumba aweze kuzaa.
 
Elezea kiundani mechanism of action ya hiyo dawa inayomfanya mgumba aweze kuzaa.

Bahati mbaya sana ni kuwa dawa nyingi za kienyeji tumezipata kwa kurithishwa toka watu wasioingia maabara!
Nadharia nitakayoeleza ni hii ya kiutamaduni - ukitilia shaka acha usitumie - lkn pia ukitumia ukafanikiwa huenda utakuja kuwa shahidi mzuri kwa wenzako wenye uhitaji
 
WanaJF, Salaam!

Kwa kipindi kirefu nimekutana na wengi ambao wameolewa au kuoa lakini hawakujaliwa kupata watoto sababu za kiafya. Nimekuwa nikitoa matibabu kwa njia ambazo si za kutangaza na wateja wangu wamefanikiwa.

Nachoweza kusema ni kwamba dawa yangu ni ya miti ya asili kabisa (Edeni Spicies) na hazina masharti ya ajabu ajabu zaidi ya kuzitumia kama lishe kwenye uji, chai au supu. Hivyo, iwapo wewe ni muhitaji, rafiki yako, ndugu yako au jamaa yako mwelekeze apate tiba ya uhakika haraka.

Kliniki yangu ipo kwa siku sita za wiki (Jumapili - Ijumaa) na siku ya Jumamosi naitumia kwa mapumziko sababu mimi ni mmoja wa waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA). Karibu nikuhudumie.

Mawasiliano ni
Msakila Mussa
S. L. P 299
BUKOBA

Simu:- +255788 628 696
+255622 950 152
E-Mail: kmsakila@yahoo.com

Napenda kuwajuza kuwa toka niwaletee hili andiko la tiba ya ugumba tayari wamejitokeza wenye uhitaji 31 kati yao 21 wameanza matibabu na kliniki - endeleeni kuwajuza wenye uhitaji ili wahudumiwe. Mnaofika bukoba nitafuteni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.
 
Napenda kuwajuza kuwa toka niwaletee hili andiko la tiba ya ugumba tayari wamejitokeza wenye uhitaji 31 kati yao 21 wameanza matibabu na kliniki - endeleeni kuwajuza wenye uhitaji ili wahudumiwe. Mnaofika bukoba nitafuteni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.
Walete ushuhuda kwanza
 
Siku ukikosa utanitafuta - wenye imani na waliosumbuka kwa muda mrefu watakuja
Shukuru Mungu huna shida hiyo
Ujue mkuu sikuhzi watu wanatumia matatizo ya watu kama fursa kwao...me sina maana mbaya ukute mwingine kashahangaika sana hadi amekata tamaa ya kutumia madawa lakin akiskia ushuhuda anaweza akashawishika
 
Back
Top Bottom