Je umefikia MALENGO uliyopanga mwaka huu?

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,840
Tunajianda kwenda kuuanza mwaka mwingine mpya,. Swali la kujiuliza ,umefikia MALENGO uliyopanga mwaka huu? Kama ndio , good for you! Na Kama sio why? Kumbuka, Kama utaendelea kuwa mtu wa kulalamika na kutafuta visingizio na kutaka kuonewa huruma badala ya kutoa majibu!na kuwa na mawazo Yale Yale , marafiki wale wale. Kutenda vile vile , unasoma vitabu vile vile for the past five years ,hivyo tegemea matokeo Yale Yale. Ndio maana uendawazimu nikufanya jambo lile lile kwa njia ile ile huku ukitegemea matokeo tofaouti. Change what you see by changing how you see. Good day.
 
Thubutuuu kodi ya chumba kimoja sh50, 000, umeme kwa mwezi 20, 000 maji ndoo 1sh 300 hadi 400 ,kuchangia taka kwa mwezi 3500 hapo hujaumwa, hujala , hujavaa kwa sisi makabwela tutasubiri sana ila kinachonishangaza ni hawa wamiliki wa nyumba za kupanga nyumba imejengwa miaka ya 70 hajawahi kubadilisha chochote ukienda kwenye huduma ya choo ndio majanga lkn kila siku wakilala wakiamka wanakuambia kodi imepanda ukiuliza kulikoni unaambiwa garama za undeshaji uendeshaji gani wakati hata mapaa ya nyumba yanaulizana umefika lini hawa watu wanaturudisha nyuma sana unakuwa unawafanyia kazi wao tu.
 
Malengo nimeyafikia but now yanipasg kuuza my samsung gallaxy note 2 kwa laki 8 pekee!
 
mimi niliazimia kutembe na wanawake kumi na mbili mwaka huu. hadi tunavyoongea nimepiga kumi na tano na bado kuna mmoja nnaahadi nae leo
 
Kwa kweli kwa mwaka 2013 malengo yangu yalivurugika kwa kiwango kikubwa,kwanza nilianza mwaka kwa kuibiwa.
na kwa hiyo mwaka mzima nimefanya kazi ya kurudisha mali nilizoibiwa ukiachilia mbali suala la mfumuko wa bei na kupandishiwa garama ya nyumba mara kwa mara.embu tuusubiri mwaka 2014 nione malengo yatakuwaje,.
 
Back
Top Bottom