Nini chanzo cha mtu kuitwa maskini? afanye nini kutoka katika hali hiyo?
Inategemea na ulipo, hata kwa kuonewa huruma tu unaweza ukaitwa maskini.
Nilibahatika kufika Saudi Arabia zamani sana (waliofika watathibitisha hili), nikakuta kina mama wanaomba omba huku wamevaa dhahabu kwa kiwango chetu huku ni mtu tajiri ndio anaweza akavaa dhahabu za kiwango hicho.
Nini chanzo cha mtu kuitwa maskini? afanye nini kutoka katika hali hiyo?
chanzo cha mtu kuitwa maskini ni mtu mwenyewe kutojitambua yy ni nani na haki zake nini?????????(haki nnikimaanisha haki ya elimu,afya bora,maisha bora na mazingira bora,kupinga maovu)na kujipigania kujikomboa)Nini chanzo cha mtu kuitwa maskini? afanye nini kutoka katika hali hiyo?
kama anavosema AMINATA umasikini unaanzia kichwani. Wamasikini wote wanafikiria wako masikini, na wataendelea kua hivo. Ila akianza kukataa hiyo hali na kupiganisha tayari ameanza msafara wa kujiokoa.
Kwa kujitoa lazima awe na destination, what I call a vision. Anataka kwenda wapi, ni hali gani anaona sio umasikini kwake? then apange muda wa kufikia lengo hilo, huku akiweka objectives fupi fupi kati kati:
ex: anataka kufungua duka:
objective 1. ajifunze duka linatumika vipi,
2. ajifunze anahitaji pesa ngapi na institutions gani zinaweza kumpa hizo pesa au kazi gani anaweza kufanya, kwa muda gani, kupata hizo pesa.
3. Atafute eneo nzuri (hata kabla hajapata hela) na asema ningependa duka langu liwe hapa. aulize wanakodisha au wanauzaje.
4. aanze kuandika ma barua za kutafuta kazi au za kukopa hela. etc.
Katika hatua zote hizo anaendelea kukeep final destination kwa akili na kama anatakiwa kuvuta objective moja au kuireplace na nyingine it is fine tu, muhimu ni kufika anakoenda.
Asichoke na asiwe disapointed kama hafikii lengo lake katika wakati alijipangia, anaweza kufanya extention sababu so long as anaenda mbele, anazidi kuweka distance kati yake na hali ya umasikini
Nadhani kuitwa masikini haimaanishi kwamba wewe ni maskini (wala kuwa omba omba hii ni tabia wala haimaanishi wewe ni maskini)
Sasa hao kina mama wanaleta utani kwanini wasiuze hizo dhahabu na walizipata wapi hizo dhahabu..., ikiwa mtu anapata basic needs basi huyo sio maskini
na utajiri (Wealthy) ni pale mtu ambapo Income = Expenditures + Savings...; hivyo basi kama mimi na matumizi yangu na shida zangu zote na kujirusha kwangu naweza kutumia pesa na zikabaki nikaweza kupata savings basi mimi sio maskini; ila kama napata mshahara wangu tarehe 30 lakini tarehe 5 umeshakwisha.., basi mimi ni maskini hata kama kipato changu milioni tano, tofauti na yule ambae anapata laki moja lakini anapeleka watoto wake shule anakula vizuri na kubaki na tu-savings twake
1........Mahitaji muhimu matatu ya binadamu ni malazi (safe housing), mavazi (kuweza kustahimili hali ya mazingira yako) na uhakika chakula. Going without any of those three basic needs your bound to suffer and that constitutes the true meaning of poverty or absolute poverty.
2.....Dunia ya leo kuna man made definitions of poverty depending on what society you happen to live in, the measurement of this new definition is based on materials especially in societies which are rich. Since these societies can provide the three most basic needs to its people the question of poverty shifts on how comfortable people are in society and what sort of life goods are people consuming. Therefore households are expected to have certain gadgets, be able to afford certain social expenditures (such as holidays) and the type of diet one consumes. They refer to this measurement as 'relative poverty' and is purely based on income gaps (class), life chances one is born with and what politics can do to improve the situation of those at the bottom. In fact the main theme in western politics (especially home politics) is centred round these arguments.
race,color n,k na mwambao unako ishi..kwa mfano katika Africa nchi nyingi ni masikini sana isipokua zile zenye watu weupe ka Afrika kusini,misri n.k na kule marekani wamarekani weusi ni maskini sana wakati huohuo wamarekani weupe ni matajiri.kwahiyo black ni cursed race..
Nadhani swali haliulizi umaskini ni nini, swali linauliza "umaskini unasababishwa na nini".
Nnavyosema mimi ni kuwa unaweza kuwa na mali lakini bado ukawa maskini. Umaskini na kuitwa maskini inategemea ni wapi ulipo na si nini (materially) ulicho nacho au kutokuwa nacho.
Ufukara ndio kutokuwa nacho (materially) na ufukara si umaskini. Unaweza kuwa fukara lakini usiwe maskini, na unaweza kuwa maskini na ukawa fukara au una mali au tajiri, lakini huwezi kuwa fukara na ukawa tajiri au una mali.
Unaweza kuwa tajiri lakini huna macho, hapo una qualify kuwa maskini wa macho. Au huna mguu, au huna akili, au huna mume, au huna mtoto, au huna baba au huna mama.
Nadhani tumeelewana, kama tulivyo: Tanzania ni maskini lakini si kuwa hatuna mali au rasilmali, tu maskini kwa kuwa ni wajinga, na ndio maana tuna qualify (generally) kuitwa maskini. Na kati yetu wako mafukara na wako matajiri.