Je, uliwahi kuwa na mahusiano na Mwana JF?

Kama uliwahi kuwa na mahusiano na mwana JF yeyote yule Je mahusiano yenu yalikuwaje?Mlidumu katika mahusino??Je mliaminiana au mlikuwa mnaviziana??
CC
Asprin
Watu8
Vin Diesel
Jiwe Linaloishi
Madame B
Malaika mimi
Mtambuzi
Shark
Paloma
Habiba Amour
Nawengine nyote hawa niliowaweka sijawaona siku nyingi!!!
Niliwahi kuwa nao wengi kimapenzi na kikazi humuhumu Jamii Forums
Ila at the end atakayebaki moyoni mwangu mpaka leo ni Ben Saanane.
Nilimpenda, nitampenda na nitaendelea kumpenda.
Japo sijui yuko wapi ila nampenda sana sana sana.
Kuna mmoja humu nikimtaja...jukwaa litasimama.
Hebu nikae zangu kimya KakaKiiza
 
Niliwahi kuwa nao wengi kimapenzi na kikazi humuhumu Jamii Forums
Ila at the end atakayebaki moyoni mwangu mpaka leo ni Ben Saanane.
Nilimpenda, nitampenda na nitaendelea kumpenda.
Japo sijui yuko wapi ila nampenda sana sana sana.
Kuna mmoja humu nikimtaja...jukwaa litasimama.
Hebu nikae zangu kimya KakaKiiza
Kwa nini unahisi jukwaa litasimama wifi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kuwa nao wengi kimapenzi na kikazi humuhumu Jamii Forums
Ila at the end atakayebaki moyoni mwangu mpaka leo ni Ben Saanane.
Nilimpenda, nitampenda na nitaendelea kumpenda.
Japo sijui yuko wapi ila nampenda sana sana sana.
Kuna mmoja humu nikimtaja...jukwaa litasimama.
Hebu nikae zangu kimya KakaKiiza
Mwenz ahayo mambo ya kuogopa jukwaa umeayaanza lini? Hebu mtaje bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom