Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,039
- 158,714
Hebu rudi hapa, tunasubiri list.
Nimekosa wa kubebishana nae
Niliwahi kuwa nao wengi kimapenzi na kikazi humuhumu Jamii ForumsKama uliwahi kuwa na mahusiano na mwana JF yeyote yule Je mahusiano yenu yalikuwaje?Mlidumu katika mahusino??Je mliaminiana au mlikuwa mnaviziana??
CC
Asprin
Watu8
Vin Diesel
Jiwe Linaloishi
Madame B
Malaika mimi
Mtambuzi
Shark
Paloma
Habiba Amour
Nawengine nyote hawa niliowaweka sijawaona siku nyingi!!!
Mimi hunioni?Nimekosa wa kubebishana nae
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Una ni underestimate sana kisa kua ben 10.. adi nashindwa kujidai
Tatizo Mkuu,ntajipendelea hapo,lazima nikushauri uweke vigezo vinavyoendana na mimi kabisa!
Tatizo naandika then nafuta, hapa nimefuta hadi heading naanza upya.
Hebu nisaidie mawazo mkuu.
Come on be a man, wewe si ndio unasemaga mume ni mume hakuna mke mkubwa kwa mumeweUna ni underestimate sana kisa kua ben 10.. adi nashindwa kujidai
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kwa nini unahisi jukwaa litasimama wifiNiliwahi kuwa nao wengi kimapenzi na kikazi humuhumu Jamii Forums
Ila at the end atakayebaki moyoni mwangu mpaka leo ni Ben Saanane.
Nilimpenda, nitampenda na nitaendelea kumpenda.
Japo sijui yuko wapi ila nampenda sana sana sana.
Kuna mmoja humu nikimtaja...jukwaa litasimama.
Hebu nikae zangu kimya KakaKiiza
Iandike haraka.
Mwenz ahayo mambo ya kuogopa jukwaa umeayaanza lini? Hebu mtaje bwanaNiliwahi kuwa nao wengi kimapenzi na kikazi humuhumu Jamii Forums
Ila at the end atakayebaki moyoni mwangu mpaka leo ni Ben Saanane.
Nilimpenda, nitampenda na nitaendelea kumpenda.
Japo sijui yuko wapi ila nampenda sana sana sana.
Kuna mmoja humu nikimtaja...jukwaa litasimama.
Hebu nikae zangu kimya KakaKiiza
Unamtia ndimu eeh?Mwenz ahayo mambo ya kuogopa jukwaa umeayaanza lini? Hebu mtaje bwana
Hebu mwaga vigezo hapa naweza ghairi hata na tangazo lenyewe.Tatizo Mkuu,ntajipendelea hapo,lazima nikushauri uweke vigezo vinavyoendana na mimi kabisa!