profftobe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 906
- 929
Achana naye ameishakamatika huyo anashindwa tu kukwambia. Ukilazimisha utavurugwa siku sio nyingi.Kuna binti tulijuana naye mwezi 8 hivi mwaka jana, nilipokula tunda nikawa nimenogewa nikampenda kupita kiasi. Kwa vile nilikuwa mkoa mwingine ilifika muda nikaenda mkoa wa jirani ambako wanaishi wazazi wangu yeye akabaki kwajili ya kuendelea na masomo cozi ni mwanachuo cha ualimu. Nikafika nikasema nyumbani kuwa nimepata mchumba kweli wakasalimiana na mama! Sasa mi muda umefika nimerudi zangu ktk harakati akaanza kuniwekea status za kunichoma moyo, nikamuulza et akawa mkali na kuniambia mahusiano yafe. Sema kweli niliumia kama wiki nzima ila nashukuru Mungu nilikuwa na na wengine wawili ambao wananipenda zaidi japo mimi siwapendi kama yeye. Kama kuna mdau mwenye mbinu ya kumrudisha zizini anisaidie jmn. Bado nampenda na nkimpigia cm anapokea ila sms ndo hajibu