Tairus
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 676
- 1,055
Mmoja nilimpa Iphone
Wapili nikampeleka bagamoyo tukaa wiki mbili
Watatu nilikutana nae humu,nilimtafutia kazi.
Wanne ambae nipo nae hadi sasa nilimfungulia biashara ya stationary.
Watano mfanyakazi mwenzangu kaolewa, birthday yake nilimnunulia chupi alafu nikamwambia siku ukiivaa naomba nione..kaingia kingi.
Wasita mtoto wa mama mwenye nyumba huyu nikirudi kazini namletea chochote..the rest is histry
Wasaba HR..huyu kila weekend naenda kwake kumfundisha anasoma CPA
Wanane nilimpeleka backets nikamywesha vitu vya kutosha..
However you may not start conversation with the following recipient;Tairus
Wapili nikampeleka bagamoyo tukaa wiki mbili
Watatu nilikutana nae humu,nilimtafutia kazi.
Wanne ambae nipo nae hadi sasa nilimfungulia biashara ya stationary.
Watano mfanyakazi mwenzangu kaolewa, birthday yake nilimnunulia chupi alafu nikamwambia siku ukiivaa naomba nione..kaingia kingi.
Wasita mtoto wa mama mwenye nyumba huyu nikirudi kazini namletea chochote..the rest is histry
Wasaba HR..huyu kila weekend naenda kwake kumfundisha anasoma CPA
Wanane nilimpeleka backets nikamywesha vitu vya kutosha..
However you may not start conversation with the following recipient;Tairus