Je, ulishawahi kuletewa pigo sizo na wageni wako? Weka mkasa wako, yangu hii hapa

Hivi umesha kutana na ndugu ambao hakuna kukumbukan kwa salam yaani wanakuona wewe kama fursa??

ndio mtu una shida lakini jifunze kusoma nyakati na kuto kuwaza kila muda mwenzio anazo zipo zipo tu.

Ukiona simu, sio ishu za salamu au kujulian hali, ndugu wa ain hizi wao ni kibomu. Ukisema hata umchek umsabahi, subiri kibomu
Kuna watu hawana aibu kibomu hata mgonjwa anaombwa tu pesa, awe tu mfanyakazi
 
Enzi hizo ... Naishi na mshkaji yeye anamiliki kitanda Bila Godoro ,Sasa kipindi hiko ninafanya kazi na mwana huwa napanda Bajaj yake ...so akanipanga Nini nakaondoka maskani nkaenda kuishi nae geto... Nkatoa 220 nkanunua Godoro,Mashuka Nini fresh ...life likaanza ,Mwanzoni Mambo yalikuwa fresh, hakukuwa na matatizo .
Mimi NI mpenzi wa kofia/caps mnooo so kila day nikiona kofia Kali nanunua..hizi golf cap nlikuwa nazo Kama szote achana na za brand kubwa kubwa Kama Balenciaga na nyingine...
Mara kofia imepotea ,,,Mara namkuta mchizi kavaa ,mara nasikia mchizi kaweka Bondi, Kwakuwa mchizi alikuwa mkamaria Sana nkaona isiwe Kesi sikumuuliza...baadae nkaanza kupoteza Nguo za ndani(boksa), T-shirts ......
Last time nakuja kukutania mchizi kavaa nilichoka mnama,hapo nilishindwa vumilia nikamchana..akamind Hiyo day hakurudi geto.
After few weeks nkapata dili kubwa zaidi so nkamtaarifu mwana ... Na mshahara nitakaopokea ili anishauri...kumbe mwana alikuwa na roho ya korosho kumbe alimind ..nkaenda job Nini nikakamilisha mchongo mpya ili kesho yake Nianze mchongo...narudi magetoni nakuta mchizi katoa mazaga Yangu yote ..kafungasha mazaga Yangu yote kanitolea nje alafu ndo nilikuwa nimetoka kulipia Kodi miezi mitatu ...Alafu mwenyewe hayupo na simu hapatikani ...nkasema siyo case...
Hiyo day ilikuwa November 8.. my bday ..na sikujua kuwa babe (demu wangu kaniandalia suprise yaani kanitafutia chumba somewhere ..Kashatia timu huko kafanya usafi kaweka mapazia Kanunua na Godoro ,Tukeki na tuchampagne Nini...namcall namweleza situation akanambia don't worry Nakuja akaja na bajaj ..tukabeba mazaga ..namuuliza Tunaenda wapi kanambia Tulia...Mara paap Nipo kwenye Room ...sikuamini ...kilichotokea NI kukata keki kukata keki..Tukakata na vitu vingine...

Habari mbaya NI kwamba bibie Tumeshaachana na tulispend 4 Yrs....


Ila pia kofia Yangu ya Balenciaga inaniumaaaaaaaaaaa nilinunua 45 TSH...
Jamaa kumbe tunasherehekea siku ya kuzaliwa pamoja, Nov 8
 
Vulindela 😂😂🤣🤣

Mie mgeni akija kutumia kitu changu hasa nguo bila ruhusa huo ugomvi wake utakuwa mkubwa sana, hakuna jambo sipendi kama kushare nguo na mtu.
Afadhari huyo ni ndugu, Mwenyekiti wa CCM Pugu Mnadani pale aliwahi omba nimuazime T-shirt yangu ya Puma! nikampa mpaka leo haijarudi.
 
Mara paap; unakuta huyo jamaa ni shemejio mpya.
Nina kesi wadogo zangu wako kusini huko wakapigiwa simu na mdogo wangu mwingine Yuko dar kwamba Kuna mgeni tena mkaka(wao ni wasichana) hana pa kufikia wampokee anakuja kuanza kazi kweli akapokelewa huu mwezi wa pili hana hata dalili za kuondoka.Kibaya zaidi ana amri "harakisheni chakula nawahi kazini" hivi napanga Safari niende nikamfukuze wao wameshindwa
 
Walikuja wageni kwangu nikawachinjia kuku kumbe bwana ni Waislam (nilikuwa na najua ila sikutilia manani ishu ya kuchinja) alooo si wakanizilia makuku yote mawili mimi na familia yangu wakaamua kula mchicha nikajifanya sielewi tulikula kuku wenyewe wakala michicha, yaani mi ninunue kuku wawili then nielekezwe nani wa kuwachinja utafikili wakichinja Waislam wataongezeka mapaja na hipsi.

Hahahah
 
Kweli kabisa kwetu tumezaliwa wadada wanne mfululizo na tumepishana kidogo sana ukituangalia miili inafanana hivo mama alikua akinunua nguo hasemi ya nani mtavaa wote.ukubwani omekua shida mtu akikutembelea anaacha begi lake anaanza vaa zako.sasa Mimi ndo mkubwa nikishona nguo wakaiona unakuta simu imeita"hiyo nguo ni ya kwangu ntunzie" .Kama mmojawapo anasafiri inabidi mumvizie usiku kukagua nguo la sivo kila kilicho kizuri atabeba.
Hawa. Ni sisi kabisaaa na wadogo zangu yaani juzi nimebebewa kitenge kipyaa ht sijashona wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nyumbani tulipata mgeni (Shemeji yake mama) mida ya jioni, maza kapika menyu ya familia nzima, by the time msosi umewekwa mezani, gari la maji lilifika home kwahyo nyumba nzima ikawa busy kuweka matank vizuri, kuhakikisha jamaa hawatuibii maji (wale wakazi wa kinyerezi wanaelewa shida ya maji).
Maza akamwambia mgeni anza tu kula, sisi tunamalizia hii kazi, mpaka tunakuja kumaliza kazi tunamkuta Mgeni katoka dinning kahamia seating room na stick mdomoni ile kuangalia mezani hotpot zipo empty, jamaa kafuta menyu ya familia nzima peke ake, ile maza anaenda mcheki, bila aibu akasema "Asante sana Shemeji"
Nyumba nzima ilimind, tukalala njaa
 
Kuna siku nyumbani tulipata mgeni (Shemeji yake mama) mida ya jioni, maza kapika menyu ya familia nzima, by the time msosi umewekwa mezani, gari la maji lilifika home kwahyo nyumba nzima ikawa busy kuweka matank vizuri, kuhakikisha jamaa hawatuibii maji (wale wakazi wa kinyerezi wanaelewa shida ya maji).
Maza akamwambia mgeni anza tu kula, sisi tunamalizia hii kazi, mpaka tunakuja kumaliza kazi tunamkuta Mgeni katoka dinning kahamia seating room na stick mdomoni ile kuangalia mezani hotpot zipo empty, jamaa kafuta menyu ya familia nzima peke ake, ile maza anaenda mcheki, bila aibu akasema "Asante sana Shemeji"
Nyumba nzima ilimind, tukalala njaa
Asante sana shemeji😂😂😂😂😂
 
Kuna siku nyumbani tulipata mgeni (Shemeji yake mama) mida ya jioni, maza kapika menyu ya familia nzima, by the time msosi umewekwa mezani, gari la maji lilifika home kwahyo nyumba nzima ikawa busy kuweka matank vizuri, kuhakikisha jamaa hawatuibii maji (wale wakazi wa kinyerezi wanaelewa shida ya maji).
Maza akamwambia mgeni anza tu kula, sisi tunamalizia hii kazi, mpaka tunakuja kumaliza kazi tunamkuta Mgeni katoka dinning kahamia seating room na stick mdomoni ile kuangalia mezani hotpot zipo empty, jamaa kafuta menyu ya familia nzima peke ake, ile maza anaenda mcheki, bila aibu akasema "Asante sana Shemeji"
Nyumba nzima ilimind, tukalala njaa
 
Kuna kipindi mdogo wa rafiki yangu nilimpa hifadhi kwangu kesho yake aendelee na safari, siku aliyoondoka narudi gheto naona kinyolea ndevu kimetumika na kwenye sakafu ya bafuni kuna kama vinywele vilivyofungamana (vipiripiri), dogo hakuwa na ndevu, nikajua tu hapa kanyoa pori la akiba. Nlichukia sana.

Nilipooa, ndugu za wife walikuja hapa wadogo zake wawili wa kiume, basi kuna mmoja alikuwa anapenda sana mpira, timu yake ilipofungwa kwa hasira alitupa remote, basi nikamuonya tu asirudie ila ukweli ni kwamba nilitaka nimrukie kama panzi kumpa vitu viwili ama vitatu.

Mkasa mwengine ulimpata rafiki yangu, ni mtu anaependa pombe ila anapenda kunywea nyumbani kwake, alikua ana fridge special la bia na wine zake, basi kapata wageni watatu wa huko kwao, kesho yake ana toka kazini anarudi hakuna hata chupa moja iliyobaki na ndugu wamelewa chakari, kesho yake aliwafungisha virago.
Nyuzi za aina hii watu wanazipenda sana maana ndo sehemu yao ya kuonesha umahiri wa kutunga story

Usishangae mtu anaesema " alikuja mgeni nyumbani kwangu" na yeye mwenyewe ni mgeni kwene nyumba ya mtu
 
Pindi tupo home kifamilia tunaishi kwa uncle,siku hiyo uncle alikuja na rafiki yake ambae alikuwa mpole Sana umri wake ni wa Kati tuu,Ile time ya msosi si ndio mgeni akasogezewa pot la ubwabwa aanze kujipakulia,eehee bwana alichotufanyia ....!!..uncle alitamani kumwambia " na wenzio bado hatujapakua"....alijaza plate karibia robo tatu ya pot.....Kama ndio alikuwa anakula kwa Mara ya mwisho..
Nilim'mind Sana ukizingatia siku hiyo asbh nikugonga chai andazi 2 nikiwa na matumaini ya mchana ki"cover... Yaani alikichafua siku hiyo huyo mgeni.. bakuri la mboga mchuzi alijichotea Kama ye ndio alipika,hakuongea neno lolote nilikuja kumsikia akiaga....hakuna aliyemuitikia......kwa masela zaidi ya mke wa uncle....
 
Kwangu tofauti kidogo.Miaka flani ya 2000s wakati niko sec nyumbani wageni walikuwa hawakauki.Wale waliokulia dar nadhani wanajua.Mi nilikuwa nakasirika ndugu rika langu maana walikuwa wakivaa nguo zangu nikiwa boarding school nikirudi nakuta zimechakaa Tshirt shingo inapanuka imekuwa kama kiuno.Soksi zimekakamaa zimefutiwa bao(pu.nyet.o).

Kuna siku alikuja anko wangu katoka chuo cha ualimu alikuwa na utangotango sugu mwili mzima kaoga then katumia taulo langu.Kesho yake nikaenda gereji kuomba mafuta ya break nikamwambia paka kila siku afu lala hapo chini.Alimaind akaenda kusema ukienda kwa shemeji mwanae mbaguzi.

Wageni walikuwa wakiniibia nguo,viatu na ipod yangu iliniuma sana.Hata nikibadili kitasa napoenda skuli boding mdingi huku nyuma alikuwa anavunja kitasa anasema ndugu wote wa kiume wafikie chumba changu.
ndugu sio powa soksi zimekauka na bao la punyeto nimecheka sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku nyumbani tulipata mgeni (Shemeji yake mama) mida ya jioni, maza kapika menyu ya familia nzima, by the time msosi umewekwa mezani, gari la maji lilifika home kwahyo nyumba nzima ikawa busy kuweka matank vizuri, kuhakikisha jamaa hawatuibii maji (wale wakazi wa kinyerezi wanaelewa shida ya maji).
Maza akamwambia mgeni anza tu kula, sisi tunamalizia hii kazi, mpaka tunakuja kumaliza kazi tunamkuta Mgeni katoka dinning kahamia seating room na stick mdomoni ile kuangalia mezani hotpot zipo empty, jamaa kafuta menyu ya familia nzima peke ake, ile maza anaenda mcheki, bila aibu akasema "Asante sana Shemeji"
Nyumba nzima ilimind, tukalala njaa
shemeji Asante kwa msosi, vp uyo mgeni aliendelea kukaa au ilikuwaje

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku nyumbani tulipata mgeni (Shemeji yake mama) mida ya jioni, maza kapika menyu ya familia nzima, by the time msosi umewekwa mezani, gari la maji lilifika home kwahyo nyumba nzima ikawa busy kuweka matank vizuri, kuhakikisha jamaa hawatuibii maji (wale wakazi wa kinyerezi wanaelewa shida ya maji).
Maza akamwambia mgeni anza tu kula, sisi tunamalizia hii kazi, mpaka tunakuja kumaliza kazi tunamkuta Mgeni katoka dinning kahamia seating room na stick mdomoni ile kuangalia mezani hotpot zipo empty, jamaa kafuta menyu ya familia nzima peke ake, ile maza anaenda mcheki, bila aibu akasema "Asante sana Shemeji"
Nyumba nzima ilimind, tukalala njaa
Huu ni utani brooo
 
Hapo mama na baba kabila moja kwa hiyo mashemeji hawaoni aibu.
Kuna siku nyumbani tulipata mgeni (Shemeji yake mama) mida ya jioni, maza kapika menyu ya familia nzima, by the time msosi umewekwa mezani, gari la maji lilifika home kwahyo nyumba nzima ikawa busy kuweka matank vizuri, kuhakikisha jamaa hawatuibii maji (wale wakazi wa kinyerezi wanaelewa shida ya maji).
Maza akamwambia mgeni anza tu kula, sisi tunamalizia hii kazi, mpaka tunakuja kumaliza kazi tunamkuta Mgeni katoka dinning kahamia seating room na stick mdomoni ile kuangalia mezani hotpot zipo empty, jamaa kafuta menyu ya familia nzima peke ake, ile maza anaenda mcheki, bila aibu akasema "Asante sana Shemeji"
Nyumba nzima ilimind, tukalala njaa
 
Kuna siku nyumbani tulipata mgeni (Shemeji yake mama) mida ya jioni, maza kapika menyu ya familia nzima, by the time msosi umewekwa mezani, gari la maji lilifika home kwahyo nyumba nzima ikawa busy kuweka matank vizuri, kuhakikisha jamaa hawatuibii maji (wale wakazi wa kinyerezi wanaelewa shida ya maji).
Maza akamwambia mgeni anza tu kula, sisi tunamalizia hii kazi, mpaka tunakuja kumaliza kazi tunamkuta Mgeni katoka dinning kahamia seating room na stick mdomoni ile kuangalia mezani hotpot zipo empty, jamaa kafuta menyu ya familia nzima peke ake, ile maza anaenda mcheki, bila aibu akasema "Asante sana Shemeji"
Nyumba nzima ilimind, tukalala njaa
tobaaaah
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Mtu anakuja kwako anajipulizia perfume zako kama anaoga 🙆🏽‍♂️ Watu ni shida sana kila mtu aishi kwake 😂😂 japo ni ngumu jamani inabidi tuvumiliane tu.

Tukutane bar
Kwani huna chumba chako binafsi!!?
ama unalala sebuleni!?
 

Similar Discussions

207 Reactions
Reply
Back
Top Bottom