Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,124
- 27,919
Kuna watu hawana aibu kibomu hata mgonjwa anaombwa tu pesa, awe tu mfanyakaziHivi umesha kutana na ndugu ambao hakuna kukumbukan kwa salam yaani wanakuona wewe kama fursa??
ndio mtu una shida lakini jifunze kusoma nyakati na kuto kuwaza kila muda mwenzio anazo zipo zipo tu.
Ukiona simu, sio ishu za salamu au kujulian hali, ndugu wa ain hizi wao ni kibomu. Ukisema hata umchek umsabahi, subiri kibomu