Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,588
- 7,349
Maisha bila kujipendekeza hutoboiSalute mates...
Kwenye mizunguko yetu ya maisha kuna wakati unakua upo very attached na mtu Fulani either ni rafiki wa kawaida kama Man to man au Man to woman, pengine ni mpenzi wako umpendae sana sana. Yaani unakuta una mpenzi roho yako imetokea kumpenda sana husikii wala huoni juu yake, kila muda unatamani uwe nae karibu au kuwasiliana na nae. Au kama ni rafiki yako wa kiume unakua kila ukitaka kufanya kitu Fulani unamstua
-Excelsior
Now it's time to say goodnightSema
Now it's time to say goodnight
Goodnight, sleep tight
Now the sun turns out his light
Maisha ni fumbo asee huyu mwanamke alikua mzuri sana enzi hizo na sauti tamu. Ila leo ukimuangalia alivyozeeka.Linda ni mgonjwa mda,napenda nyimbo zake ....aron nevile ndio legend wng babu anajua kuimba
Mkuu ni kweli mfumo wa dunia ulivyo bila kujipendekeza mambo yatakuwea magumu kwenye kila kitu. Ila kwangu mimi ni tofauti kabisa hasa kwa upande huu mahusiano na watu.Maisha bila kujipendekeza hutoboi
Kila mtu anatamani kuyaishi uliyoandika lakini dunia haipo hivyo.
Kuna hasi na chanya.
Kuna inferior na superior
Man you're psycho! Trust meMkuu ni kweli mfumo wa dunia ulivyo bila kujipendekeza mambo yatakuwea magumu kwenye kila kitu. Ila kwangu mimi ni tofauti kabisa hasa kwa upande huu mahusiano na watu.
Mimi siwezi kujipendekeza kaabisa kwanza nimejijengea mazingira kwamba hakuna mtu anayeweza "Kunikomesha" yaani unitishie nisipofnaya kitu fulani sitapata kitu fulani, Sijali na sikomesheki mimi. Kwanza kabisa mimi binafsi sijijali wala sijali mtu ataniumiza vipi ndio maana mimi kuchukua kisu ni
This is me,I question everything my integrity,my feelings,my decision sometimes my heart because it can lie to me too😁Mimi siamini watu mpaka mm mwenyewe sometimes huwa naquestion hata maamuzi yangu.... Kuna wakati naamini what I know about me is a lie.... I am working hard to know myself......
Assume niliwahi kumfukuzia mtoto wa watu for 2 good years na siku aliponikubalia... nikamweka kwenye mizani upya... nikafanya critical analysis nikaona nilikosea kumfukuzia NIKAMWACHA.
I'm not psycho. I'm Stoic!!Man you're psycho! Trust me
Hiyo para ya mwisho i felt youMkuu ni kweli mfumo wa dunia ulivyo bila kujipendekeza mambo yatakuwea magumu kwenye kila kitu. Ila kwangu mimi ni tofauti kabisa hasa kwa upande huu mahusiano na watu.
Mimi siwezi kujipendekeza kaabisa kwanza nimejijengea mazingira kwamba hakuna mtu anayeweza "Kunikomesha" yaani unitishie nisipofnaya kitu fulani sitapata kitu fulani, Sijali na sikomesheki mimi. Kwanza kabisa mimi binafsi sijijali wala sijali mtu ataniumiza vipi ndio maana mimi kuchukua kisu nikajichana ni jambo dogo tu au kuchukua kitu changu cha thamani nikakivunja hua sijali.
Huwezi nikomoa au kuniumiza hisia zangu maana kuishi na kufa kwangu ni sawasawa na 1 sijali kufa wala sijali kuishi.
Kwa ujumla sijali lolote litakalonipata maishani mwangu sababu I don't expect anything from anyone... And if I expect something, I only expect worse things to happen in my life.
Kama ni kulazimisha Upendo nishalazimisha mara moja kwa mwanamke mmoja na daima haitakaa itokee tena. Hata yeye nalazimisha kwakua She worth it, It's too hard to let her go and I can't afford to loose her. Waliobaki wooote Never ever again
Tafuta pesa kijanaNiaje wadau.
Nimeambiwa na demu wangu kuwa niwe mvumilivu na niongeze upendo ili amsahau mchepuko wake ambae yupo nae na anampenda kuliko mimi ila jamaa hampend demu but demu anasema anashndwa kabisa kumuacha......
Pesa ipo man ila dogo nimeanza kumuelewa sasa na ye ananipenda ila hatak kuachana na mwana anasema wamezoeana saana nimpe time.Tafta pesa kijana
Hakuna mapenzi hapo... Nenda kaangalie sehem nyingine utakuja kunishukuru baadaePesa ipo man ila dogo nimeanza kumuelewa sasa na ye ananipenda ila hatak kuachana na mwana anasema wamezoeana saana nimpe time
Sent from my Redmi 8 using JamiiForums mobile app
Mi mwemyewe mapenz sina ila ninahuruma nae kwa kuwa mdgo afu ananikubali na kaniomba nimsaidie kumteka ndio maana nataka tricckHakuna mapenzi hapo... Nenda kaangalie sehem nyingine utakuja kunishukuru baadae
Yeah sema kwangu mimi ni ile nakuwa nalazimisha upendo kutoka kwa mtu na nafanya kila niwezalo ili aendelee kubaki maishani mwangu nami niendelee kubaki maishani mwakeKwanini mkuu? Nawewe ushawahi pitia hali hiyo?