Unalenga kusema nini haswa ?Nimeendesha gari kwa miaka kadhaa sasa lakini sijawahi kubahatika kukutana na gari la wagonjwa likiwa sheli, ni mimi tu au kuna aliyewahi kuona Ambulance ikiwa sheli?
Unalenga kusema nini haswa ?
Kutobahatika kuiona sheli ikijaza mafuta haina maana kwamba magari hayo huwa hayaingii sheli
Ni magari kama yalivyo magari mengine
Yanaenda garage
Yanaingia sheli kunywa mafuta
N.k
Nimeendesha gari kwa miaka kadhaa sasa lakini sijawahi kubahatika kukutana na gari la wagonjwa likiwa sheli, ni mimi tu au kuna aliyewahi kuona Ambulance ikiwa sheli?
Ushawahi kuiona ipo gereji inawekewe wese/service?Nimeendesha gari kwa miaka kadhaa sasa lakini sijawahi kubahatika kukutana na gari la wagonjwa likiwa sheli, ni mimi tu au kuna aliyewahi kuona Ambulance ikiwa sheli?
hahah ase sijawahi onaMwingine aliuliza hivi ushawahi ona msiba wa masai?
Kwa yeyote anayefanya kazi halmashauri anaweza kujua mfumo wa utoaji mafuta kwa magari ya idara mbalimbali ikiwa ni pamoja na ambulance ambazo ziko idara ya afya au zikiwa chini ya hospital husika. Kunakuwa na tank za mafuta stoo za halmashauri au kwenye hospital ili kuwa na uhakika wa mafuta, lakini pia kuratibu matumizi ya mafuta ktk magari.Nimeendesha gari kwa miaka kadhaa sasa lakini sijawahi kubahatika kukutana na gari la wagonjwa likiwa sheli, ni mimi tu au kuna aliyewahi kuona Ambulance ikiwa sheli?
mwingine akauliza eti umewahi kuona paka wakipigana mzigo?Mwingine aliuliza hivi ushawahi ona msiba wa masai?
Tuzoee tu ndivyo tulivyo😂😂 Mimi ndo hata sijui.WaAfrica!!!🙌🙌🙌
Swali ni umewahi kuiona ama hujawahi?
Mimi sijawahi
Nimeendesha gari kwa miaka kadhaa sasa lakini sijawahi kubahatika kukutana na gari la wagonjwa likiwa sheli, ni mimi tu au kuna aliyewahi kuona Ambulance ikiwa sheli?
Ukawajibu vipi?mwingine akauliza eti umewahi kuona paka wakipigana mzigo?