General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,302
- 23,020
Utakuwa wa kanda ya ziwa wewemhhhh kidogo nikatwe miguu na lift za ngazi pale Mayfair/shopaza. kumbe unatakiwa uwahi kutoa miguu sasa Mimi nilidhani itasimama then nishuke.kulikua na watu kadhaa na nilitaka kuanguka.yaan niliona aibu na mpaka Leo naogopa lift za ngazi
kituko kingine wakati naenda kuchukua admission letter Udsm si niliposikia kituo mlimani nikashuka kumbe ni m/city.kwenda ndani naona maduka tuu hamna dalili ya chuo ikabidi niulize Askari.sasa huyo Askari sio kunielekeza kwa nguvu jamani watu wanapita wanasikia.ikabidi nitoke nje km nilivyoelekezwa.yaan niliona aibu