Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

mhhhh kidogo nikatwe miguu na lift za ngazi pale Mayfair/shopaza. kumbe unatakiwa uwahi kutoa miguu sasa Mimi nilidhani itasimama then nishuke.kulikua na watu kadhaa na nilitaka kuanguka.yaan niliona aibu na mpaka Leo naogopa lift za ngazi
kituko kingine wakati naenda kuchukua admission letter Udsm si niliposikia kituo mlimani nikashuka kumbe ni m/city.kwenda ndani naona maduka tuu hamna dalili ya chuo ikabidi niulize Askari.sasa huyo Askari sio kunielekeza kwa nguvu jamani watu wanapita wanasikia.ikabidi nitoke nje km nilivyoelekezwa.yaan niliona aibu
Utakuwa wa kanda ya ziwa wewe
 
ilikuwa primary darasa la sita sa kuna kademu kalikuwa kananielewa kinoma siku hyo kakaja kwetu mi mwoga mwoga sijui mambo ya kunjunjana. bro kakashawishi kakakubali tukapige mtungo. sa broo akaanza kaniambia mi nikae mlangoni nicheki so coz mshua alikuwepo home but anapenda kukaa njee sna kuingia ndani labda taarifa ya habari.. apo tumekubaliana kuwa mtu akitokea nipige mluzi sa ghafla nimesimama mlangoni nato shingo nje mshua hyu apa si nkashindwa kupiga mluzi nikasema kwa nguvu hyooooo. mshua kastaki then kanambia em sogea hapo kaingia ndani kawafuma broo na kidemu kakatiwa vibao kakasepa home kwao...hahah bro kashikwa dushelele mzee kaivuta huku anamwmbia naikata leo ndo inayo kuponza.................itaendelea
 
Nakumbuka Nikiwa Darasa la tatu asubuhi nikiwa Primary school shule moja Kyela huko vijijini Basi tukawa tumechelewa kuhesabu namba. Ile mwalimu anaanza kupiga walochelewa nikalala haraka chini akapiga fimbo kama tatu nikatoa kituko ambacho niliona ni ujanja........ Itaendelea
Hahahaaha
 
Mimi nakumbuka nipo chuo Iringa wakati wa group presentations si unajua tena ushapiga jumba lako jeusi ili uongezee marks walau, sasa shughul ikawa tunataka kupanda group zima stejini lecturer akasema no need apande tuu mmoja...straight akanipoint mimi na hata kazi nlikua siijui inafananaje :)
Macho yalinitoka na lisuti lako kijasho kwa mbali..basi ile hofu kupanda stejin nikaikosa ngazi nlibiringita hadi chiniiii..kuficha aibu wallah sikuinuka nkajifanya kuzimia!!!
...that was my embarrassing moment ever
damn
 
Haha ikabidi tu utoe hela mwee. Umenikumbusha story ya kimini

Kuna siku nilikuwa darasa la 5 au 6 hivi, nikawa napita mitaa ya sokoni. Nimevaa kakimini kangu ka kuchanua, najishaua tu. Basi bana kuna kichaa fulani hivi, akaninyatia kwa nyuma huyoo akanifunua mwaaaaaa, jamani nashukuru nilivaa teitei. Miguu ilistuck jamani, I felt so embarrassed khaa
Hahahah
 
Nimekumbuka na mimi yashanikuta:kipindi cha pepa za chuo(UE) kuna mshkaj wangu alikua anaenda kusomea kwa dem mmoja tulikua nae group moja na alikua ana lala hukohuko nkataka kumuuliza mshkaj kupitia msg"najua utakua ushamaliza kwa ester(sio jina kamili) kwa sababu najua huwez kushea nae kitanda na ushindwe kula labda uwe sio mzima" mda wa kuituma hiyo meseji si nkamtumia yule dem badala ya mshkaj na sababu ni kuwa majina yao nlisave yakawa yanafuatana,nlipaniki hatari meseji inaenda nkaifuta nkaona haitoshi nkazima na simu kabisa nakuja kuwasha simu naona messege delivered to ester!nkaishiwa nguvu ila nkajikaza nkampigia dem simu vp kuna meseji nimekosea kutuma ikaja kwako ushaisoma?akasema hapana nkamwambia naomba uifute kabla hujaisoma akagoma nkamwambia poa ila ujue tu mi na mshkaj nliekua namtumia hyo msg huwa tunataniana ishu kibao kwa hiyo utambue huo nao ulikua utani akakata simu akasoma afu akanipigia sim nlikula vichambo vya haja nkaishia kuomba msamaha bila mafanikio alikua mkali hataki kunielewa kabisa,nkaona isiwe tabu nkamwambia utakavyoamua poa tu.ukaibuka uadui tunapishana kwenye korido za class hamna hata salamu kwenye group akichangia mi nakausha nkichangia na yeye anakausha,ila siku ya siku akaja akaomba msamaha yy yakaisha baaadae jamaa ndio anakuja kuniambia alikula mzgo nikaunganisha dots kumbe ndio maana alikua mkali vile alidhani jamaa kamtangaza
aifute kbla hajasoma hhhh
 
Kuna nyakati around 2006 nikiwa elementary school msimu was visiting day's nilitembelewa na washua, baada ya tukio jioni yake nikawapanga washakaj zangu tuzame bwenini na misosi iliyobaki kinyume na utaratibu. Dah! tukashikwa baadae na Matron tukajua kuwa tutapewa adhabu za kawaida mambo yaishe, aisee kumbe tunatakiwa kula vyakula vyote tulivyobeba as a group na vikiisha tumesamehewa. Sitakaa nisahau wahuni tulivyokula mpaka tukaanza kutia aibu na vilio, tulilia maana tumeshiba, kuvimbiwa na bado midomi havishuki mezani ndio mazaga kama yote bado vinywaji. Nakumbuka ilibidi nilazwe hadi kutapishwa na nurse maana nilianza kukosa hadi pumzi. Kwa kweli tuliabika sana na wana tulipata bahati tukio kuwa lilitokea dormitory ya boys only, mademu walikuja kupewa story tu. Na ndio mara ya kwanza kujishuhudia kuwa mtu anaweza kula mpaka kulia bila hata kupigwa wala kuumizwa popote. Kwa kweli tusiwe na mazoea ya adhabu, unaweza kupewa task ya kawaida ikakupa shida mpaka ukapagawa.
 
Leo jamaa yangu noma sana tupo kwenye lift tunapanda ghorofani ghafla kunguni anamuibukia kwenye shati anapiga round... mdau wangu akamputa kunguni akaanguka sema ukomavu ni hatari jamaa anajidai mdudu tu wakawaida... nilicheka sana
 
ilikuwa primary darasa la sita sa kuna kademu kalikuwa kananielewa kinoma siku hyo kakaja kwetu mi mwoga mwoga sijui mambo ya kunjunjana. bro kakashawishi kakakubali tukapige mtungo. sa broo akaanza kaniambia mi nikae mlangoni nicheki so coz mshua alikuwepo home but anapenda kukaa njee sna kuingia ndani labda taarifa ya habari.. apo tumekubaliana kuwa mtu akitokea nipige mluzi sa ghafla nimesimama mlangoni nato shingo nje mshua hyu apa si nkashindwa kupiga mluzi nikasema kwa nguvu hyooooo. mshua kastaki then kanambia em sogea hapo kaingia ndani kawafuma broo na kidemu kakatiwa vibao kakasepa home kwao...hahah bro kashikwa dushelele mzee kaivuta huku anamwmbia naikata leo ndo inayo kuponza.................itaendelea
 
nyingine hyoo tukiwa form two school kwetu tulikuwa tunapikiwa chai sa nne but vitafunwa tunanunua wenyewe afu duka lenyewe la shule moja tu so sa nne ikifika panajaa kinoma ni mtindo wa survive for the fittest. siku hyo sijaenda class so sanne imefika si nlikuwa nimelala domitory nikaamka na truck suit yangu nkakimbilia shop katika gombania goli sijui nani alinivuta mara suruali hii apa miguuni sina ataa boxa watu wote wameacha kunnua vitafunwa wananiangali. duuuh sitokaaa nisahau mbio nlizochomoka usain bolt ni kama anatroat... wakuu ilibidi nijipe suspaa ya wiki mbili mwenyewe......
 
Kuna nyakati around 2006 nikiwa elementary school msimu was visiting day's nilitembelewa na washua, baada ya tukio jioni yake nikawapanga washakaj zangu tuzame bwenini na misosi iliyobaki kinyume na utaratibu. Dah! tukashikwa baadae na Matron tukajua kuwa tutapewa adhabu za kawaida mambo yaishe, aisee kumbe tunatakiwa kula vyakula vyote tulivyobeba as a group na vikiisha tumesamehewa. Sitakaa nisahau wahuni tulivyokula mpaka tukaanza kutia aibu na vilio, tulilia maana tumeshiba, kuvimbiwa na bado midomi havishuki mezani ndio mazaga kama yote bado vinywaji. Nakumbuka ilibidi nilazwe hadi kutapishwa na nurse maana nilianza kukosa hadi pumzi. Kwa kweli tuliabika sana na wana tulipata bahati tukio kuwa lilitokea dormitory ya boys only, mademu walikuja kupewa story tu. Na ndio mara ya kwanza kujishuhudia kuwa mtu anaweza kula mpaka kulia bila hata kupigwa wala kuumizwa popote. Kwa kweli tusiwe na mazoea ya adhabu, unaweza kupewa task ya kawaida ikakupa shida mpaka ukapagawa.
 
Sitasahau primary hiyo
Nataka kuingia darasa la 5 ,mshua kanitoa shule ya kayumba na kunipeleka english medium,Sasa ile siku na fika nikaoneshwa darasa nikaenda hadi pale mlango nikaanza MIMI:pLEASE TEACHER MAY I COME IN ,MWALIMU: Come in

Sa nimeingia mule class sina dawati na kila mtu na dawati lake dah si ndo nikamfata mwalimu pale mbele nikamwambia TEACHEAR AM NOT A DESK hahahah dah
Nikiwa na maanisha mwalimu sina dawati hhh
Yaani mwalimu alitabasamu huku nyuma wanafunzi wenzangu walicheka hatari,nilikua mdg ka piriton hiyo siku.
my ribs
 
Leo jamaa yangu noma sana tupo kwenye lift tunapanda ghorofani ghafla kunguni anamuibukia kwenye shati anapiga round... mdau wangu akamputa kunguni akaanguka sema ukomavu ni hatari jamaa anajidai mdudu tu wakawaida... nilicheka sana
 
Nakumbuka primary darasa la 5 huko unyakyusani kwa bibi yangu kyela vijijini. Shule nzima tulikua tunaongea kinyakyusa ikabidi waanzishe kampeni ya kuzuia matumizi ya kinyakyusa shuleni. Walitengeneza ubao ambao mwanafunz ukiongea kinyaki unavalishwa na viboko juu, hali ikawa ngumu sana kwetu tusiojua kiswahili vizuri.

Kuna siku nilipiga chafya ya kinyakyusa darasani (ejooo) hata haikuisha vizuri mtu huyo hapa na ubao wa kunivalisha shingoni, japo nilibisha bila mafanikio.
We jamaa Mungu akubariki... umenifanya nicheke sana...
 
ilikuwa primary darasa la sita sa kuna kademu kalikuwa kananielewa kinoma siku hyo kakaja kwetu mi mwoga mwoga sijui mambo ya kunjunjana. bro kakashawishi kakakubali tukapige mtungo. sa broo akaanza kaniambia mi nikae mlangoni nicheki so coz mshua alikuwepo home but anapenda kukaa njee sna kuingia ndani labda taarifa ya habari.. apo tumekubaliana kuwa mtu akitokea nipige mluzi sa ghafla nimesimama mlangoni nato shingo nje mshua hyu apa si nkashindwa kupiga mluzi nikasema kwa nguvu hyooooo. mshua kastaki then kanambia em sogea hapo kaingia ndani kawafuma broo na kidemu kakatiwa vibao kakasepa home kwao...hahah bro kashikwa dushelele mzee kaivuta huku anamwmbia naikata leo ndo inayo kuponza.................itaendelea

 
Nakumbuka primary darasa la 5 huko unyakyusani kwa bibi yangu kyela vijijini. Shule nzima tulikua tunaongea kinyakyusa ikabidi waanzishe kampeni ya kuzuia matumizi ya kinyakyusa shuleni. Walitengeneza ubao ambao mwanafunz ukiongea kinyaki unavalishwa na viboko juu, hali ikawa ngumu sana kwetu tusiojua kiswahili vizuri.

Kuna siku nilipiga chafya ya kinyakyusa darasani (ejooo) hata haikuisha vizuri mtu huyo hapa na ubao wa kunivalisha shingoni, japo nilibisha bila mafanikio.
Hii post inanikumbusha Heaven Sent
 
Miaka hiyo darasa la saba kila ukiingia hotelini nakuta menu kuna kitu ina inaitwa slesi nikawa najiuliza slesi ndio msosi gani huo?
Siku hiyo nimepata ka hela flani nikazama hotelini kwa mkwala nikamuita muhudumu kaja nikamwagiza chai na slesi hapo nna usongo na hiyo slesi balaa. baada ya muda namcheki muhudumu anakuja na chai na vipande vya mkate akaweka mezani ile anataka kusepa nkamstua kwa mkwala "we hebu sogea hapa" kwa sauti ya chini nikamwambia we mi nimeagiza chai na slesi we mbona umeleta mikate? Sasa ye akajibu kwa sauti ya juu "we vp sasa slesi si ndio mikate" wateja wote wakasikia na Mimi nikashindwa kubisha nilikuwa mdogo balaa
 
Miaka hiyo darasa la saba kila ukiingia hotelini nakuta menu kuna kitu ina inaitwa slesi nikawa najiuliza slesi ndio msosi gani huo?
Siku hiyo nimepata ka hela flani nikazama hotelini kwa mkwala nikamuita muhudumu kaja nikamwagiza chai na slesi hapo nna usongo na hiyo slesi balaa. baada ya muda namcheki muhudumu anakuja na chai na vipande vya mkate akaweka mezani ile anataka kusepa nkamstua kwa mkwala "we hebu sogea hapa" kwa sauti ya chini nikamwambia we mi nimeagiza chai na slesi we mbona umeleta mikate? Sasa ye akajibu kwa sauti ya juu "we vp sasa slesi si ndio mikate" wateja wote wakasikia na Mimi nikashindwa kubisha nilikuwa mdogo balaa

Ningekuwa mhudumu ningecheka mpaka nikaanguka
 
59 Reactions
Reply
Back
Top Bottom