Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,974
- 95,475
Kwa waliokojoa kitandani tu!! - JamiiForumsTayari love, nipeleke huko kwingine nikapasuke mbavu baadaye nisome
Kwa waliokojoa kitandani tu!! - JamiiForumsTayari love, nipeleke huko kwingine nikapasuke mbavu baadaye nisome
Kipindi hicho nlikua mlizi kweli kweli, nikianza kulia sinyamazi, nlikua na uwezo wa kulia kwa niaba ya africa nzima #asante mkuuAh ah ah ah ah pole aisee
We dada si ungempostia private jamani, maana hili group linanihusu pia, mtatufanya tumwage siri zetu zote za utotoni sasa daaah
Ah ah ah headin tu imenivunja mbavu maana nimejikumbukia mbali
Haha kizuri nakula na wenzangu, kuna wengine hawajawahi kuusoma huo uziWe dada si ungempostia private jamani, maana hili group linanihusu pia, mtatufanya tumwage siri zetu zote za utotoni sasa daaah
Ah ah ah hebu nenda kasome maana sir zingine hata kama nilikuwa rafiki yako ulikuwa huzijui ah ahUtacheka hadi basi
Lisa Chang ni nani hasa lakini?Lisa Chang
Basi bhana kipindi iko nasoma o level mbeya uku mi nikiwa natokea mkoa wa Dodoma sa kipindi icho safari ilikua ni ndefu kidogo tofaut na sikuiz na nilikua napenda sana kula kula njiani Basi nilipo fika Moro na hapa nilikua naelekea mbeya si nikanunua vitu njian nikaanza kula na kunywa kabla ya kufika iringa ( Al Jazeera) kwa ajiri ya kuchimba dawa bwana su nikabanwa na kojo , nikaenda kwa konda kumuomba simasishe chuma ili nishuke kuchimba dawa konda akagoma, Mara ya kwanza, Mara ya pili kagoma pia kwa kigezo Cha kua tulikua porini Sana na Kuna wanyama wakali Basi bwana nikae da for the third trip nilicho kifanya nikafungua kale kadirisha Cha passenger door nikatoa dushe nikamwambia nakojoa hapa dere kuona vile akasimamisha chuma so nimeshuka kwenda kukojoa mkojo utoki take almost dakika tatu nimesimama kojo alitoki Basi mkojo unakaribia kutoka dere naye ndo ananipigia honi kua twende, Basi mi nikampungia mkono ile ishara ya Kama liwalo na liwe , nilipomaliza kukojoa haibu sasa kuingia ndani ya Basi watu woote all eyes on me tangu siku ile nilikua nikisafir sinunui chakula ovyo ovyo
Hope umeelewaLisa Chang ni nani hasa lakini?
Hapana nisingeuliza but okay poaHope umeelewa
Picha tafadhali!.Nikiwa A-level, nilikuwa nashuka dorm kutoka prepo mida ya saa 4 usiku.
Shule yetu ni mixer.
Sasa mkojo umenibana vibaya, nikazunguka nyumba ya darasa moja nikaanza kukojoa huku mashine imesimama.
Kumbe kulikuwa na manz tena tumezoeana balaa.
Mi nakojoa zangu na yeye yupo pembeni ya kona ananiangalia na mashine yote iko nje na mwanga wa taa mkali kabisaa.
Namaliza nasikia kicheko,
Alienda tangazia wenzie mangi ana mashine kubwaa balaa.
Kesho yake napewa hongera na kila dem class
Nimeshindwa kumalizia haaaaaa! .Dah.. Mmenikimbusha mwaka 2006 nikiwa form 3 kaingia ticha wa hesabu kashusha example za kutosha akauliza mmeelewa.. Darasa zima tukaitikia tumeelewa wakati huo sijaelewa chochote...
Ticha akatoa swali akanichagua nifanye mimi.. Kufika ubaoni sijui hata cha kuandika nikasingizia chaki ndogo nikapewa chaki mpya mara ubao ukajaa jasho kama lote maana nilikuwa naandika vitu vya ajabu afu nafuta
Aisee sio kwa jasho lile ticha akauliza mbona unapaka maji ubaoni mtu mzima sina la kujibu
Ilikuwa aibu ya millenia maana class wanajua jamaa mwamba ..nikaambiwa nenda ukakae ilibidi nizime na vitamba vya kujifutia
Mie saa hizi nalia maana si kwa kucheka huko. Jamaa alieacha suruali kwenye foleni ya vitafunwa kaniliza bila kupigwa.Huu Uzi bwana! kila nikiupitia huwa nacheka mpaka machozi yananitoka .....lol
We dogo ulituchelewesha sana skuile tulikumind kinyamaLisa Chang
Basi bhana kipindi iko nasoma o level mbeya uku mi nikiwa natokea mkoa wa Dodoma sa kipindi icho safari ilikua ni ndefu kidogo tofaut na sikuiz na nilikua napenda sana kula kula njiani Basi nilipo fika Moro na hapa nilikua naelekea mbeya si nikanunua vitu njian nikaanza kula na kunywa kabla ya kufika iringa ( Al Jazeera) kwa ajiri ya kuchimba dawa bwana su nikabanwa na kojo , nikaenda kwa konda kumuomba simasishe chuma ili nishuke kuchimba dawa konda akagoma, Mara ya kwanza, Mara ya pili kagoma pia kwa kigezo Cha kua tulikua porini Sana na Kuna wanyama wakali Basi bwana nikae da for the third trip nilicho kifanya nikafungua kale kadirisha Cha passenger door nikatoa dushe nikamwambia nakojoa hapa dere kuona vile akasimamisha chuma so nimeshuka kwenda kukojoa mkojo utoki take almost dakika tatu nimesimama kojo alitoki Basi mkojo unakaribia kutoka dere naye ndo ananipigia honi kua twende, Basi mi nikampungia mkono ile ishara ya Kama liwalo na liwe , nilipomaliza kukojoa haibu sasa kuingia ndani ya Basi watu woote all eyes on me tangu siku ile nilikua nikisafir sinunui chakula ovyo ovyo
Nimeshindwa kumalizia haaaaaa! .[/QUOTEmalizia tu
Sijui mkuuhuyo demu xx hiv yuko wap!!!?