Je uko tayari?

Malila

JF-Expert Member
Dec 22, 2007
5,149
4,674
I have never met a rich person who has never lost money. But I have met a lot of poor peoplewho have never lost a dime ------investing,that is.

By Rich/poor dady.

Nilipofanya utafiti bubu nikaona ni kweli,wengi wa waliofikia mafanikio halali kifedha ni wale ambao walichukua maamuzi magumu ktk pilika pilika zao, ni wale waliokubali high risk wakiwa ktk track sahihi ya kuwekeza, na ambao hugeuza anguko lao kama nguvu za kusonga mbele kufikia malengo.

Karibu tutafune hii maada muhimu kwetu walala hoi.
 
UK Special forces (SAS) wana usemi huu
"Who Dares Wins"
if u take calculated Risk,with no fear of loosing,after few failures and Trials success is guaranteed. kuna rich Dad/Poor Dad then Soma Kitabu chake cha The Four Quadrants by the same Author. ninaplan ya kufungua Kitaa Academy- street academy based on this Authors books.Tatizo bado sijakamilisha projects ambazo nataka nizitumie kama mfano hai ktk haya madarasa.kwa sasa bado nafanyia kazi elimu niliyoipata kutoka katika vitabu hivi.
 
UK Special forces (SAS) wana usemi huu
"Who Dares Wins"
if u take calculated Risk,with no fear of loosing,after few failures and Trials success is guaranteed. kuna rich Dad/Poor Dad then Soma Kitabu chake cha The Four Quadrants by the same Author. ninaplan ya kufungua Kitaa Academy- street academy based on this Authors books.Tatizo bado sijakamilisha projects ambazo nataka nizitumie kama mfano hai ktk haya madarasa.kwa sasa bado nafanyia kazi elimu niliyoipata kutoka katika vitabu hivi.

Hivi vitabu vinasaidia sana, hicho cha Four quadrants sijakiona. Kuna fursa nyingi sana, kuna mmoja anasema, dhahabu iko kila mahali, tatizo watu hawajafundishwa namna ya kuitambua dhahabu iliyo ktk mazingira yake.

Pale Bongo naweza pata wapi hicho kitabu cha Four Quadrants mkuu?
Have a nice day.
 
Hivi vitabu vinasaidia sana, hicho cha Four quadrants sijakiona. Kuna fursa nyingi sana, kuna mmoja anasema, dhahabu iko kila mahali, tatizo watu hawajafundishwa namna ya kuitambua dhahabu iliyo ktk mazingira yake.

Pale Bongo naweza pata wapi hicho kitabu cha Four Quadrants mkuu?
Have a nice day.

Mimi nilikwisha wahi kutuma hizo kwadrants hapa maalim. ngoja ntazirudisha. lakini na huyu mwenzetu anaetaka kufungua hicho Kitaa chake nadhani anahitaji msaada kuwa more efficiency yani ili kua shule more successful wanafunzi. lakini malila nataka usome ile kartasi halafu unambie kama unanielewa. labda naweza nikachangia kwenye jamvi visuli.
 
Malila, niko tayari na nimeanza muda kidogo kujaribu niliyochota kwenye baadhi ya visima vya entrepreneurs; challenges nizipatazo ni kama vile mambo ya taxation, business plans hazina nafasi sana katika banks zetu na honest partners

sijakata tamaa na nasonga mbele, lakini kuchukua kama walivyofanya akina trump ni ngumu hapa kwetu kwani kila mtu kuanzia mtendaji, katibu, TRA, wilayani, benki, BRELA, sheli, posta, sokoni ni meandering tu
 
Mimi nilikwisha wahi kutuma hizo kwadrants hapa maalim. ngoja ntazirudisha. lakini na huyu mwenzetu anaetaka kufungua hicho Kitaa chake nadhani anahitaji msaada kuwa more efficiency yani ili kua shule more successful wanafunzi.
 

Attachments

  • PembennePacha4.pdf
    99.1 KB · Views: 183
Just ask Invisible awapakulie vitabu hivi hapa pia...........vina mambo muhimu sana ya kuzingatia

The Richest Man In Babylon - George S. Clason
Trump & Kiyosaki - Why We Want You To BeRich
Robert Kiyosaki - CashFlow Quadrant
Robert Kiyosaki - Retire Rich Retire Young
Robert Kiyosaki - Freedom or Security
Robert Kiyosaki - Rich Dad's Guide to Investing
 
Just ask Invisible awapakulie vitabu hivi hapa pia...........vina mambo muhimu sana ya kuzingatia

The Richest Man In Babylon - George S. Clason
Trump & Kiyosaki - Why We Want You To BeRich
Robert Kiyosaki - CashFlow Quadrant
Robert Kiyosaki - Retire Rich Retire Young
Robert Kiyosaki - Freedom or Security
Robert Kiyosaki - Rich Dad's Guide to Investing

Hiki pale mtaani dar nilikiona,kama vipo mitaani niambieni ni mitaa ipi nikavinunue, nitaacha kuchangia send off kama miezi miwili hivi ninunue hazina hii kwa ajili yangu na wanangu.
 
kuna mahali nimepita kwenye blog moja hivi nimekutana na mtu ambae amedare to try nadhani amesoma hivi vitabu cz kitu alichoamua kufanya mm sikuwahi kufikiria lakini namuombea heri afanikiwe mtazame kwa blog inaitwa theblueboxtoday afu ni mbongo msichana
 
kuna mahali nimepita kwenye blog moja hivi nimekutana na mtu ambae amedare to try nadhani amesoma hivi vitabu cz kitu alichoamua kufanya mm sikuwahi kufikiria lakini namuombea heri afanikiwe mtazame kwa blog inaitwa theblueboxtoday afu ni mbongo msichana
Huyo ni jasiri na anastahili pongezi,ngoja na mimi nikamsome.
 
Hivi vitabu vinasaidia sana, hicho cha Four quadrants sijakiona. Kuna fursa nyingi sana, kuna mmoja anasema, dhahabu iko kila mahali, tatizo watu hawajafundishwa namna ya kuitambua dhahabu iliyo ktk mazingira yake.

Pale Bongo naweza pata wapi hicho kitabu cha Four Quadrants mkuu?
Have a nice day.

Mkuu Malila, kitabu cha FOUR QUADRANT (by Kiyosaki) kinapatikana ile bookshop ya mlimani City bei yake ni 17,000/= , in fact siku ile tulipokutania pale nilikuwa hiyo bookshop.. huyu bwana Kiyosaki zaidi ya Rich Dad poor dad katunga hiyo four quandrant. pia how to invest.. ila kilichonimaliza kabisa ni IF YOU WANT TO BE RICH AND HAPPY DONT GO TO SCHOOL (Hiki sijakisoma chote)..

jamani i Robert Kiyosaki books!!
 
malila.. The Richest Man In Babylon - George S. Clason pia kinapatikana Mlimani City bookshop... bei yake nadhani haizidi 20,000/=

mimi kwa sasa nina library ya:
-Trump & Kiyosaki - Why We Want You To BeRich (20,000)
Robert Kiyosaki - CashFlow Quadrant (17,000)
Napoleon Hill Think and Grow Rich (hiki nilikinunua 10,000 kwa machinga mmoja)
Trump- Think Big


pia nashauri nununueni CD titled "siri za Eric Shigongo" kwa kweli ni nzuri sana maana anaeleza how youo can be successful- bei si kubwa ni 5,000/= tu au kwa lugha nyingine ni chupa tatu za bia (kwa wanywao)

mimi next move ni kununua na kusoma Robert Kiyosaki - Rich Dad's Guide to Investing na
The Richest Man In Babylon - George S. Clason,. suala litakalolimebaki ni application ya hiyo knowledge.. nawaambia ndugu zangu ukisoma vitabu vya namna hii lazima utabadilika.
 
malila.. The Richest Man In Babylon - George S. Clason pia kinapatikana Mlimani City bookshop... bei yake nadhani haizidi 20,000/=

mimi kwa sasa nina library ya:
-Trump & Kiyosaki - Why We Want You To BeRich (20,000)
Robert Kiyosaki - CashFlow Quadrant (17,000)
Napoleon Hill Think and Grow Rich (hiki nilikinunua 10,000 kwa machinga mmoja)
Trump- Think Big


pia nashauri nununueni CD titled "siri za Eric Shigongo" kwa kweli ni nzuri sana maana anaeleza how youo can be successful- bei si kubwa ni 5,000/= tu au kwa lugha nyingine ni chupa tatu za bia (kwa wanywao)

mimi next move ni kununua na kusoma Robert Kiyosaki - Rich Dad's Guide to Investing na The Richest Man In Babylon - George S. Clason,. suala litakalolimebaki ni application ya hiyo knowledge.. nawaambia ndugu zangu ukisoma vitabu vya namna hii lazima utabadilika.

Nikitenga kama laki moja hivi desemba hii naweza kukamilisha kununua vyote, kwa hiyo ili nisiharibu mipango mingine kwa ajili ya hili.

Asante sana mkuu. Leo nimepata bei ya bata mzinga. Nadhani tutawahitaji ktk siku chache za usoni.
 
Mkuu Malila
hivi vitabu vinapatikana mlimani city or bookshop ya slip way au bookshop ya novel idea ipo pale steers samora opposite na british council.
huyu dada wa the blue box,amejitahidi,ametumia simple blog technolgy kutengeneza e-duka,actually
 
Nitazumgumza na Mkurugenzi wa JF kuhusu hivi vitabu. kama kweli mnavielewa basi tuwasaidieni mfundishe watu. na kama hamueliwi vizuri mimi natakufundisha wewe halafu uwafundishe wengine. Tutavivungua vungua mpaka tuwe na uwezo wa kumwambia mtu wa kawaida akawa tajiri kutuzidi sisi, kama anadhani ndio furaha ya dunia. La muhimu tusiweke tamaa mbele. vile vitabu nadhani mtu anaweza akasema vimechangia katika shinikizo la mporomoko wa uchumi marekani kama hujui. Tusifanye Boom economy tena serikali inatakiwa irregulate haraka hii biashara ya real estate. na sina maana serikali ivamie biashara, la. Free enterprises should not be distrubed, yes i know. I dont know what counties every is for sure but we are kind of slow a just a little bit. thank you
 
Hiki pale mtaani dar nilikiona,kama vipo mitaani niambieni ni mitaa ipi nikavinunue, nitaacha kuchangia send off kama miezi miwili hivi ninunue hazina hii kwa ajili yangu na wanangu.

Mkuu pita Mlimani city pale kuna duka linauza vitabu na hivyo baadhi nilishawahi kuviona pale nadhani liko opp na Tigo au kabla hujafika NMB
 
Mkuu pita Mlimani city pale kuna duka linauza vitabu na hivyo baadhi nilishawahi kuviona pale nadhani liko opp na Tigo au kabla hujafika NMB

Linaitwa Scolastica Bookshop, wana duka lingine Samora Avenue mita chache kabla hujafika mnara wa askari kama unatokea ppf house. Vitabu nadhani vyote vilivyotajwa hapo juu unaweza vipata hapo, mi nilishachukua hapo richdada/poor dad, na cashflow quadrant, bei si kubwa ukilinganisha na uzito wa ujumbe wenyewe kwny kitabu.
 
Linaitwa Scolastica Bookshop, wana duka lingine Samora Avenue mita chache kabla hujafika mnara wa askari kama unatokea ppf house. Vitabu nadhani vyote vilivyotajwa hapo juu unaweza vipata hapo, mi nilishachukua hapo richdada/poor dad, na cashflow quadrant, bei si kubwa ukilinganisha na uzito wa ujumbe wenyewe kwny kitabu.

Jf bwana,
full msaada kwa linalowezekana, asante mkuu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom